Hakika njiwa una akili kama za panzi, unajua pa kurukia lakini hujui pa kutua, ubongo wako u tumboni, huna tofauti na wale wanaofikiri kwa matumbo na ki ma saburi, vigumu kukutofautisha na kufuri linalofunguliwa kwa....
Kama kweli una uchungu na znz ondoka haraka urudi kwenu tuone kama hutoishia...
Taarifa hizi zilipotolewa mwanzo kabisa, nilijitahidi kuzifanyia kazi kwa kumfuata huyu MR MEGA...WHAT ili nisikie kauli yake, huwezi amini alinitolea njea na kudai kuwa ni uzushi, nilipotoka tu nje ya ofisi yake pale Wizarani aliwasiliana na bosi wangu kujitetea na kufanya alilolifanya ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.