Search results

  1. L

    Katibu mkuu nishati na madini kikaangoni kesho

    Hapo hakuna jipya kwani Jairo wamemfanyaje. Wapo kwa ajili ya Mkulu
  2. L

    BBC Live! Mdahalo kuhusu usufiri majini. Fuatilia

    Tatizo la meli zetu kuzama nani wa kulaumiwa? Ni serikali, bunge, abiria, sumatra au wamiliki wa meli
  3. L

    Wabunge wa upinzani waonywa

    Peleka pumba zako huko ccm.
  4. L

    Utata watanda nchi anakotibiwa Ulimboka; Yadaiwa yupo Ujerumani na si Afrika Kusini

    Kutokana na sababu za kiusalama na watekaji kuzidi kufuatilia hospitali alipo huko South. Source Gazeti la Mwananchi. Naomba wanajamvi mtupashe mkipata ukweli. Mungu ni Mwema na atawaumbua Wahusika mchana kweupe.
  5. L

    Ukweli kuhusu mgomo na madai ya madaktari Tanzania

    Kweli wewe ni gamba gumu. Hizo wanazolipwa wabunge na wakubwa wengine zinatoka wapi?
  6. L

    Hii ya bajeti ya 2012/2013 imekaaje?

    Bajeti ya mwaka 2012/2013 imepitishwa kwa mbunge mmojammoja kusema ndiyo au hapana je hii imewatendea haki wabunge ambao hawakuwa tayari kupitisha lakini kwa kuwa anatamka live ataogopa kusema hapana. Naomba tujadili kidogo.
  7. L

    JK kuifumua CCM - AITISHA GHAFLA VIKAO VYA CC NA NEC DODOMA

    Walisema ni upepo tu muda kidogo utapita. Lazima mafisadi wang'oke hadi hao wanaowakumbatia.
  8. L

    Joshua Nassari MB.

    Amekana kuwa hakusema Arusha itakuwa kama Sudani Kusini. Anawaomba Watanzania wamwelewe vizuri na kama kuna watu amewakwaza kwa kuelewa kauli vinginevyo wamsamehe. Atarudi polisi kesho. Source Sunrise Radio. M4C Aluta continua!
  9. L

    JK aapisha Baraza la Mawaziri

    Naona mawaziri wanaapishwa. Wakuu naombeni jibu mbunge kuanza kuapa au waziri? Ninavyofahamu mimi wabunge kwanza, spika, waziri mkuu kisha mawaziri.
  10. L

    Kikwete afanya mabadiliko makubwa ya Baraza la Mawaziri - Aprili 2012

    Hapa ni chupa ya mvinyo imebadilishwa lakini mvinyo ni ileile. Hakuna jipya.
  11. L

    Baraza la mawaziri kutangazwa wakati wowote-Ikulu!!

    Nadhani halitakuwa na jipya kwani watu ni walewale labda achanganye na wapinzani.
  12. L

    Sherehe za Mei Mosi Tanga, JK mgeni rasmi

    Leo ni siku ya wafanyakazi duniani. JK atazungumza na wafanyakazi kupitia sherehe za mei mosi. Atakuwa na jipya la kuwaambia wafanyakazi maana amekuwa hatekelezi ahadi zake? Amesahau alipowaambia wafanyakazi akili zao wachanganye na za mbayuwayu wakati wa mgomo wao na kuwaambi wagome hata...
  13. L

    Baraza la Mawaziri Kutangazwa Leo...Tetesi za Wanaotajwa Sura Mpya...

    Wanajamvi inawezekanaje baraza jipya kutangazwa kabla ya lile la zamani kuvunjwa? Au linaundwa yawe mawili? Nashangaa kusikia tetesi kuwa baraza jipya litatangazwa muda wowote wakati la zamani halijavunjwa.
  14. L

    Kwa anavyodhalilishwa na Kikwete, ungemshauri nini waziri mkuu Mizengo Pinda?

    Ajiuzuku tu maana hana umuhimu. Ni kama birika isiyo na chai.
  15. L

    CHADEMA mikutano ya hadhara kila siku inakera

    Huna jipya! Kalale
  16. L

    Taarifa kwa Vyombo vya Habari: Hoja ya Kutokuwa na Imani na Waziri Mkuu

    Safi sana ila nina mashaka wabunge wa ccm hawatapiga kura ili kukilinda Chama Cha Mafisadi.
  17. L

    Lowassa aunguruma Bungeni: "Bora kufanya maamuzi na kulaumiwa, kuliko kutofanya!"

    Wakuu tukumbuke EL alikumbwa na kashfa ya kampuni tata ya kufua umeme ya Richmond iliyomfanya achukue maamuzi magumu ya kujiuzulu Uwazi Mkuu ili kupisha uchunguzi zaidi. Pia aliweza kuchukua maji kutoka Ziwa Viktoria bila kibali toka Misri ambapo chanzo cha mto Nile ipo. Sasa kuna sakata la...
  18. L

    Wanachama wa CHADEMA wilayani Meatu wajiunga CCM

    Hizo ni habari za kupikwa. Maji yamewafika shingoni.
  19. L

    Katibu mwenezi wa CCM Longido ajivua gamba

    Wakuu magamba yanazidi kupata moto. Katibu mwenezi wa vijana wilaya ya Longido Ndugu YOHANA LAIZER ameamua kuhama ccm na bado hajaweka wazi atajiunga na chama gani. Katibu huyo anadai kachoshwa na magamba kuchanganya siasa na mila. Pia anadai magamba wamekuwa wakidanganya wananchi kuwa alama...
  20. L

    Lowassa aunguruma Bungeni: "Bora kufanya maamuzi na kulaumiwa, kuliko kutofanya!"

    Wanajamvi naomba mwenye taarifa za EL kutoa maamuzi magumu leo atujuze. Au zile tetesi zilikuwa za kupima mwelekeo wa upepo? Nahisi gamba lake bado gumu na itafika siku litababuka.
Back
Top Bottom