Huo ni uhuni na ushenzi.....katiba gani duniani isiyoweka ukomo wa utawala wa viongozi?iko wapi demokrasia sasa?Badilisheni chadema kiwe chama cha kifalme au cha kidikteta tujue moja basi,mpka mungu atakapomchukua kiongozi mmoja ndipo achaguliwe mwingine...NIMERUDISHA RASIMI KADI YA CHADEMA LEO
Kumsafirisha mtu kwa siri,ukimnyima hata haki ya kula ndio kazi ya polisi?polisi wangekuwa na nia njema ya kutoa haki kwa aliemwagiwa tindikali,wangetenda haki pia kwa watuhumiwa..jeshi la polisi linatumia ubongo uliooza unaotoa funza...wa mwigulu nchemba na wenzake....HAKUNA UTAWALA...
Askari aliefichua maovu ya polisi waandamizi wanaojihusisha na mitandao ya ujambazi morogoro mwaka juzi aliambiwa MGONJWA WA AKILI.
Askari mwingine wa arusha nae alijitoa muhanga akaweka hadharani unyanyasaji mkubwa unaofanywa na maafisa wa juu wa jeshi la polisi kwa askari wa chini naye...
Unaonekana hujitambui..utaratibu wa kushortlist unategemea nafasi za kazi.kanuni za recruitment zinataka shortlist sio longlist ndio maana tunatuma CV ili waweze kupunguza watu..huwez kuita watu 1000 kwa nafasi 5,angalia resources wanazotumia kuita watu 1000,magari,wasimamizi wengi,usahishaji...
Jaman wana jamii nimeona barua ya jana tar 21 May 2013 ya RPC arusha akimkingia kifua bosi wake RC (mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa), nikiwa mtanzania mwenye akili timamu nimejiuliza maswali yafuatayo;
1.Kama center namba iliyotuma ujumbe huo ni ya nje,kwanini namba ya simu...
Huhitaji kuwa "rocket scientist" kujua kwamba CCM wana lengo la kuifilisi nchi hii.Tembo 57 hufa kila siku Tanganyika ili kukipatia fedha za kutosha chama cha mapinduzi kuhakikisha wanahonga watu na kuiba kura ili kibaki madarakani.Wameuza kwa bei ya kutupa migodi yote ya almasi na dhahabu,Juzi...
Ukienda upande wa logic pia unaprove kuwa clip hiyo is a descent simulation..Huyo aliekuwa anaelekezwa mbona hajachangia chochote?na hajaonyeshwa karibu dakika zote...intentionally alieonyeshwa ni rwakatale tuu ambae ndio walimtarget...mpango huo haukuwa na mshiriki mwingine yoyote?matukio...
Acheni ujinga nyie...form six,masters,b achelor hazitusaiii na wala sioo vigezo pekee vya kupima watu....angalieni deliverables.....Nape anadeli ver vipi na Mnyika anadeliver vip?
Nape does not think....kinachorudisha nyuma maendeleo ya Tanzania ni kupima uwezo wa watu kwa kuangalia vyeti/kujuana........Hata kama Mnyika bado angekuwa darasa la saba yet he is outstanding and bright minded figure..ana uwezo mkubwa sana wa kupambanua mambo kujenga hoja na kuwapigania maskini...
Nchimbi ni moja kati mawaziri dhaifu sana,uwezo wake ni mdogo sana,ukimtazama hata anavyoongea utaona jinsi uwezo wake wa kufikiri ulivyo mdogo,aidha elimu yake pia ni zile za kununua,kwa hivo msimshangae kwanini ameshindwa kudeliver kwenye wizara hii....tumshangae JK kwa kumpa wizara nyeti mtu...
Hata kabla ya nusu ya kipindi cha uongozi wake mh.spika wa bunge mama makinda ameanza kulalamikiwa kila kona ya nchi, kibaya zaidi analalamikiwa hadi na wabunge wa chama chake mwenyewe.
Analalamikiwa kuwa anaendeshwa na waziri mkuu na lukuvi...hao ndio maspika wa bunge...wanamuelekeza jinsi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.