Poleni na majumukumu.
Mimi ni kijana wa miaka 29. Miaka kadhaa yuma nilipata nafasi ya kwenda kusoma nchi fulani. Huko nikakutana na binti mmoja tukaanzisha mahusiano.
Binti huyu ni yeye ndiye aliyenitafuta na kuonesha kuvutiwa na mimi. Hakuwa mrembo, ila alionekana ni mwenye imani ya dini...
[emoji3][emoji3] Kweli mkuu. Jamaa wanaonekana hawapo sawa kabisa. Halafu mtangazaji bado anakomaa nao tu.
Sema hao Jamvi Tv, shots zao zamoto sana. Millard this time hajaweka drone shots.
Aisee kumbe ligi yetu inapiga hatua sana. In recent days nimeona mpira wetu unatrend sana Africa. Cheki wapopo wanashangaa vyuti vya Yanga, wakiwish one day clubs zao zifike hapo. Sisi tunachukulia poa aisee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.