Jimbo la singida Kaskazini nyalandu kashinda: Katika kata ya Ilongero. Nyalandu 667, Mpombo 88, Monko 608/1/15, 10:57:30 PM: Am Still Damas: Kata ya Maghojoa: Nyalandu 743, Monko 72, Mpombo 26, Aron 16, Mungwe 15
8/1/15, 10:57:30 PM: Am Still Damas: Kata ya Mrama: Nyalandu 744, Monko 125...
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akisalimiana na baadhi ya wadau wa masuala ya uhifadhi na utalii wakati alipofungua mkutano wa majadiliano kuhusu uboreshaji wa mfumo wa usimamizi na uendeshaji Maeneo ya Jumuia ya Hifadhi ya Wanyamapori Tanzania (WMA), ulioanza jana jijini Arusha...
Ngeleja atikisa Dodoma, arejesha fomu za urais
MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja, amesema amepata fundisho kubwa katika harakati zake za kuwaomba udhamini ili ateuliwe kuwania urais na kwamba, limemuongezea shauku kubwa ya uongozi.
Ngeleja, ambaye amepata kuwa Waziri wa Nishati na Madini...
Nassari ni mfano wa wabunge wababaishaji, anatafuta kiki ya kisiasa akaona bora kumgusa nyalandu. Mbona hawajagusa viongozi wa chadema wanaobadilishana wanawake. Wabunge wengine wamezalishwa humo humo. Na hayo maneno kuwa kuwa akisikia mbunge anamgusa nyalandu anaruka juu na kumwangukia, sasa...
Hahahahaha njaa zitawaua vijana, fanyeni kazi coz hata hao mnaowalamba miguu wakifanikiwa hawataweza kuwakumbuka nyote hadi nyie vipwapwito zaidi ya wahindi ambao watapewa tenda na kupiga deal za maana.
Huyu nassari pia ni aina ya wabunge maslahi na mtoa sifa nyingi anapokuwa na shida, aliwahi kusifia utendaji wa nyalandu na kuahidi kumwangukia mtu bungeni. Kweli hii ni Lala salama
Watanzania mlitakiwa kuongozwa na iddi amini ili akili ziwakae sawa maana kwa kupoteza muda kujadili upuuzi hatujambo,hiyo ishu ya nyalandu mbona sio kama mnavyoitolea macho.?!!! Huyo anti Ezekiel mara zote amekana kupelekwa huko na nyalandu sasa duh mnataka kumlazimisha iwe kweli ili iweje?
Hakuna cha ajabu hapo ni namna ya kiongozi kuwa karibu na kuwatia moto wapiganaji wako, ingekuwa faragha hapo ni ishu nyingine. Wabongo mnapenda kuzoza sana
watanzania hawataka viongozi wagonjwa wakati taifa lina hazina kubwa ya vijana wenye uwezo, hao mnaowataka kwa ajili ya kupoza njaa zenu za muda mfupi wachagueni kuongoza familia zenu coz inaonekana wenyewe mmeshindwa so acheni wawasaidie. acheni wafu wazikwe na wafu wao.
mtoa mada una uhakika hiki ulichoandika kwa sabubu kama huyu martha mlata ndio anaongoza kwa kupeleka misaada kwa vijana na wanawake wa singida kuliko hata wabunge wa majimbo labda huyo chilolo ndio sijamsikia.
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, ametia saini Tangazo la Serikali (GN) kuhusiana na utozaji toza kwa hoteli za kitalii zilizopo katika Hifadhi za Taifa.
Pia amewaonya wawekezaji wanaokwepa kulipa kodi halali za serikali kuwa, hatasita kuchukua hatua kali na kwamba, ni lazima...
VIONGOZI wa dini mbalimbali nchini wamejitosa kusaidia harakati za serikali katika kukabiliana na ujangili wa wanyamapori kwenye hifadhi za taifa na mapori ya akiba. Jana viongozi wa dini wa ngazi za juu walikutana kujadili masuala mbalimbali katika kufanikisha vita dhidi ya ujangili, ambapo...
Ningemuona wa maana sana huyu mama kama sehemu ya hela alizokwapua angezipeleka jimboni mwake kuhudumia wananchi wanaoteseka kwa kukosa maji, wanafunzi mashuleni na si kupeleka kwenye shule yake binafsi ambayo ina kila kitu kinachotakiwa kuwa nacho shule ya kimataifa. Bukoba matokeo ya darasa la...
Hapa ni njaa zinashindana wala si akili zenu. Nina imani siku mkishiba hizi kelele zenu za kipuuzi na zisizo na chembe ya busara mbele ya wanaume wenye akili zao timamu mtabaini mlipotoka na kuonyesha uungwana kwa kukaa kimya ama kuomba radhi. pumbavu
Mijitu mingine ni mijinga ajabu, yaani watu wanaleta vitu badala ya kujadili na kuwa na mawazo mbadala yenye kujenga yenyewe yanakimbilia kwa rais. Tufungue vichwa vyetu tusisukumwe na itikadi za kisiasa na kushindwa kujadiliana mambo ya msingi. Sasa ugonjwa wa rais umeingiaje hapa kwenye vurugu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.