Mnataka ushahidi gani?magufuli aliposema ccm ina makada kila idara serikalini na kwamba makada hao hawatakubali chama chao kiangushwe kwenye uchaguzi zaidi ya hapo mnataka ushahidi gani?
Ccm mnahangaika sana,hata kama mambo mengine ni magumu kuelewa hilo la kiongoz aliyekwisha jiuzulu kuonekana kwenye listi ya hao 82 ni kithibitisho tosha kuwa huo ni mpango wa kutengenezwa.
Wanaofanya siasa kama maigizo ni wale wanaobubujikwa machoz kwenye mikutano ya hadhara kisa wananchi wana hali ngumu ya kimaisha.
Tumieni akili zenu nyie wahun wa ccm matusi mengine mnajitukana wenyewe
Mwanadiwani kwa post kama hizi na ww unataka kuitwa great thinker?
Watu walioenda shule wanajiuliza kundi ambalo wewe upo linashindwa nin kutambua kuwa nchi mbili kuungana na kuunda serikali inawezekanaje?
Jitendee haki mwenyewe and try to get out of darkness,wasomi hawachukui vitu jumla jumla...
We na umr wako mkubwa ndo hujielewi!
Mahangaiko yote kumbe unataka tukuunge mkono na muungano wenu wa serikali mbili,bora niwe kilaza machon pako nibak nikidai tanganyika ambayo babu zangu walitoa hadi jasho la damu wakidai uhuru.
Ccm katika hili la muungano mtatusameheme,tanganyika kwanza...
Wananchi gan tena anawaongelea?badala ya kusema wananchi angesema wanaccm wakikubali yy hana shida maana kama ni wananchi kweli ndo waliotoa maoni yaliyopelekea tume kupendekeza serikali 3
Mkuu bethlehem jib hoja,umeanzisha mjadala usikwepe hoja nzto zinazohitaj mchango wako kama mwanaccm.
Kwanin tupo hapa tulipo kimaendeleo?rasilimali nying mungu ametupa?
The one and only problem is ccm,katika hili la kudai tanganyika mtatusamehe.
Hata green guard wazid idadi ya wananchi...
Wewe ndo umevimbiwa!
Kwa jinsi ulivo na akili ndogo nashauri usijaribu kumchalenge warioba kwa sababu uwezo wake wa kufikiri upo juu mithili ya mlima kilimanjaro we hata level ya kichuguu hujafika
Hotuba ya warioba haijibiwi na wahuni kama nyie utaifa kwanza(ccm kwanza)maana hatujui utaifa upi!
Njaa mnayo nyie mnaopiga domo bila hoja,hamna tofauti na wapige debe.
Ccm ovyo kabisa
Kwa mtu aliyekuwa na majibu ya muundo wa muungano kichwan mwako isingekuwa rahisi kumwelewa warioba.
Warioba alisema wazanzibar wote katika swala la zanzibar kuwa nchi hawakugawanyika.
Wale wa ccm damu walisema zanzibar lazima iwe nchi na wa cuf hvohvo.
Sijui kama rundo la wastaafu litasaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.