Mbunge wa Nzega na Mwenyekiti wa Kamati ya TAMISEMI, akitoa mchango wa kamati yake kwenye bajeti ya waziri mkuu, ameichallenge serikali ya ccm kutazama upya kama kuna haja ya kuwa wizara ya viwanda na biashara isiyofanya biashara, wizara ya maendeleo ya jamii isiyoendeleza jamii, wizaya ya...
Sasa Pasco kosa liko wapi? Kigwangala alikuwa anampa taarifa Tundu Lissu kwa kusema uongo Bungeni. kwa kuwa Kigwangala anathibitisha kuwa wahanga wa mapinduzi walifanya ratification ya sheria hiyo hiyo na ndiyo maana siku wanakuja kwenye Bunge la Muungano, kwa mujibu wa profesa shivji, Rais...
TAARIFA YA KAMATI NA. 4 YA BUNGE MAALUM KUHUSU SURA YA KWANZA NA SURA YA SITA YA RASIMU YA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
________________________ 1.0 UTANGULIZI Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa mujibu wa Kanuni ya 32 ya Kanuni za Bunge Maalum za Mwaka 2014, Kamati Namba 4...
Kuna watu wana ndoto za ajabu sana na watu wa aina hii hufika mbali. Watanzania tungekuwa makini sana kama badala ya kuwabeza na kuwakejeli tungewatazama kwa umakini na pengine hata kuwahoji na kuwapima ili siku ikiwa walau tujue tuna mtu wa namna gani na anayesimamia nini
Jamani, tunakoelekea hata Godbless Lema na Lusinde nao watatangaza nia. Huyu Kigwangalla na rafiki yake January wanadhani kupewa Ubunge tu ndiyo wameishatosha kuwa Rais?? kweli?
jameni hebu nisaidieni kuna uhusiano wowote kati ya uwezo wa mtu darasani na uwezo na umakini wake kwenye uongozi?
mana kumekuwa na watu wengi wengi ambao wamekuwa wakifanya harakati za chini chini za kuutaka Urais wa nchi yetu. wengine tunawafahamu namna ambavyo hawako makini toka utotoni...
Kuna maneno ya chini chini yanasemwa kuhusu Urais wa Tanganyika endapo katiba mpya itapita ikiwa na muundo wa serikali 3, ya Tanzania, ya Zanzibar na ya Tanzania bara (ambapo maoni kwenye duru mbalimbali yanasema jina liwe Tanganyika badala ya Tanzania bara). inavyoonyesha wengi watapenda kuwe...
hebu cheki hiyo
Hamisi Kigwangalla @hkigwangalla
BASTOLA 02: Hii ndiyo story ya Bastola Nzega! Uongo mtupu. youtu.be/ra9jho-kHVQ via @YouTube
Source: wavuti.com - wavuti
kuna mtu kapost video yake. ni kweli jamaa ana maneno mazuri inaonesha yuko makini na ni spika mzuri mwenye mvuto. ofisini kwetu bosi wangu mmoja ni wa Nzega na huwa anamfagilia sana huyu mbunge wake anasema anafanya kazi nzuri sana jimboni na uwakilishi bungeni
Dkt. Kigwangalla: 2025 nitagombea Urais; Story ya bastola? Uongo mtupu! - wavuti.com
Kwa hakika dunia inakuwa mahala pabaya pa kuishi, si kwa sababu ya watu wabaya, bali kwa sababu ya ukimya wa watu wazuri. Watu safi na wazuri kama mimi, japokuwa tuko wachache, ni lazima tujipange na tusimame...
mimi mwenyewe huyu mchambuzi aliyefuatilia swala la bashe amenishangaza kwa nini kafanya hivi ila nikabaki na maswali nikasema hivi ni kwa nini mtu anayejiamini kuwa ni raia ataenda kuomba uraia? nadhani kuna ukweli sana kwenye maelezo ya huyu maganga masanja maana ameweka pia hadi vielelezo...
na wengine umewasahau Mtutura, Hilda Ngoye, Sugu moto chini, Tizeba, Kilufi, Zambi, Lembeli, Kabati, Ummy Mwalimu, naona kundi kubwa hili sijui wanapanga nini hawa , tuwaache wasindikizane mwisho wao
Leo kuna barua nimeikuta ofisini kwetu ikijadiliwa na wakubwa, ni kutoka kwa mdau mmoja wa Nzega anayejiita Maganga Masanja amemwaga data za uraia wa Basha nimeisoma nikashangaa yaani mpaka mtu agombee nafasi kubwa ndiyoi haya yanajulikana, vipi angeingia mpaka akatawala nchi tungefanyaje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.