kwa kawaida huwa ninapata hedhi baada ya siku 27 au 30, nimajaribu kama miezi mitatu kupata ujauzito ila naona hola. naombeni ushauri hapo ni siku zipi sahihi za kupata ujauuzito. pia naweza kutumia multvitamin bila kuapata ushauri wa daktari.
Nina tatizo la kutokuwa na mzunguko wa hedhi ambao ni regular, kuna wakati unakuwa baada ya siku 26, 27,28,29,30,na 33 kwa kifupi naweza kuwa na mzunguko mfupi au mrefu na hauna mpangililio. kwa sasa nimefikilia hatua ya kutaka kupata mtoto, nishaurini wanaJF nifanyeje au ni siku zipi naweza...
Nina mahusiano na mtu ambaye tumekutana kwenye mtandao na hatujawahi kuonana, mwanzo tulikuwa tunawasiliana vizuri sana kwa skype, cha ajabu imefika kipindi mawasiliano yamekata na visa vya hapa na pale. hapa ninapofanyia kazi kuna kijana amekuwa akinifuatilia na sasa ni miezi mitatu na...
my dear Latifa usikate tamaa kama umepangiwa kuolewa utaolewa tu mumy. mie ndio nimetimiza 30yrs ila sina hofu sababu najua kila kitu kinapangwa na Mungu. Kuwa na subira
Pole sana kaka kwa matatizo yaliyokukuta cha msingi kaa nao chini na uwe mnyeyekevu uwaulize tatizo ni nini? Pili msisahau kuchek AFYA ZENU sababu hapo kuna mzunguko wa watu 6 na huwezi kujua wapi utajikwaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.