Felix
Nijuavyo mimi wanawake tu wavumilivu sana sana sana na mwanamke kabla ya kuchukua hatua huanza na kusema, ikifika mahali akachulua hatua kama huyu mwanamke ujue KASHACHOKA navitimbwi vya huyo bwana.
hilo nalo neno maana wadada wa sasa wanvopenda kuolewa,hata ukimuambia ukweli kuhusu jamaa yaani hawaelewagi as long as jamaa katangaza ndoa baaaasi.....akifika huko ndio sasa utumwa wa hiyari unapoanzia cc The Boss.
Nikweli mvumilivu hula mbivu lakini sio wakati wote,,,,,,mi nilivumilia lakini matokeo yake nakala zilizooza.........so unavuumilia lakini usitegemee kula zilizoiva wakati wote !!!!
Maswali yanini tena wakati kila mmoja anajua alichofuata hapo?ni kupiga kimya maisha yanaendelea,atakaye umia roho na kuona yamemshinda awe wakwanza kufunga viragoooo!
kuwa makini kaka matapeli ni wengi mno hapa,lakini lililo la msingi mtangulize Mungu aakupe kilicho chema,hata hivo usikae na kusubiri sana wakuPM,na wewe chukua hatu ya kuperuzi peruzi thread za nyuma kuna wadada wengi waliotuma maombi unaweza kuwaulizia huenda Mungu akawa upande wako na...
Habari za asubui wana jamii, leo asubuhi katika ukurasa wangu wa FB nimekuta kuna mtu ameniambia kuhusu mkopo unaotolewa na SOCIAL CREDIT COMPANY kulingana na utapeli uliozagaa naomba mwenye kufahamu au anaejua ukweli au ambaye amewahi kunufaika na taasisi hii naomba tujuzane kwa maelezo zaidi...
Habari wana jamvi,
naomba kuuliza,hivi siku hivi bado kuna ile hali ya kuweka pingamizi kanisani kwa ajili kijana/mwanadada wasioane?
Nilichoshuhudia wiki mbili zilizopita ndicho kilichonisukuma kuleta hoja hapa jamvini.Kuna harusi moja nilishuhudia eneo fulani sitalitaja hapa,sasa wakati...
Ukiona hivyo,ujue hao kwa nje walikuwa wanajifanya wapendwa(wameokoka/walokole) sasa wanaona hiyo mimba itawafehesha na kwani jamii iliyowazunguka inajua hawabanjuani kumbe wanafanya kwa siri,na kama ndivyo ona shetani alivowaumbua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.