Pole sana kwa kutumia uhuru wako namna hii. Una haki na maoni yako japo inaonekana huelewi kahisa mfumo wa uendeshaji nchi unavyofanya kazi. Kuwa kwa mfano kwako suala kubwa ni cheo.na si utumishi. Hujui kuwa Mkuu wa Mkoa na Waziri ni ngazi moja na Katibu Mkuu wa wizara ni sawa na Ras ngazi ya...
Hapana Dereck,
Mjadala umeendelea lakini pia taratibu za kisheria ni ndefu sana mpaka kupata kibali cha kuchangisha, kupata watu wa kuendesha, kufanya usaili nk.
Licha ya majukumu yangu ya sasa, watendaji hawa wamejitahidi kukamilisha kazi hii kutokea pale tulipokuwa mwezi wa 5 mwishoni. Pia...
Wapendwa wanajukwaa ni takribani miezi sita (6) tangu nilipoleta hoja za kuanzisha mfuko wa kusaidia kuongeza wigo wa kutoa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu, kuongeza idadi toka pale bodi ya mikopo ilipoishia.
Napenda kuwajulisha kuwa taratibu za kisheria na kiofisi zimekamilika, kutokana...
Waheshimiwa wanajukwaa, natoa taarifa kuwa tumechukua muda mrefu kuanza lakini tunaendelea na mchakato kuhakikisha kila kitu kinaenda kwa utaratibu unaokubalika wa nchi, taratibu za kisheria nk. Ninajua wanafunzi wengi wametegemea tutaanza mapema na sisi tungependa kufanya hivyo lakini kwa...
Asante sana, andiko tayari, bodi inakaa jumamosi hii..tayari tigo na voda wanasubiri tukamilishe watupe namba za kuchangia...wanafunzi wenye uhitaji pia wamejitokeza kwa wingi. Mamlaka husika kimsingi haina tatizo imetupa muda wa matazaamio tuone uchangiaji utakuwa wa namna gani. Ninaamini...
KATI YA WANAWAKE NA WANAUME: NANI BORA KATIKA USIMAMIZI NA UFUATILIAJI WA SHUGHULI ZA UMMA?
Inaonekana kama wanawake wana uwezo mkubwa katika majukumu ya usimamizi wakati wanaume wana uwezo mkubwa katika ufuatiliaji. Tujadili.
Ninaomba kuwajulisha kuwa kamati ya maandalizi ya mfuko imekaa na kupitia maeneo mbalimbali ya kuuwezesha mfuko kuanza kazi zake. Mtusamehe kuchukua muda mrefu kukamilisha lakini hatua nzuri zimeanza kujitokeza. Tutaendelea kutoa taarifa mpaka tukamilishe jambo hili. Asanteni kwa kvuta subira.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.