binafsi sishangai wakristo wa tanzania kujifanya hawatambui mishango ya kielimu ya waislam hata america alianza kupambana na wazungu dhidi ya ubaguzi na kudai uhuru wa watu weusi alikuwa MALCOM X lakini kwakuwa alikuwa mwislam kafunikwa then tunapewa martin luthaking inakuja kweli ii
lakini burundi wana mfumuko mkubwa wa bei kushinda tz je na kule ccm ndio iinatawala kule ndugu zangu acheni ukweli ubakie ukweli mfumuko wa bei umeikumba karibu dunia nzima
mbona umekuwa mkali kama umemwagiwa petrol kusema akili ya kuambiwa changanya na yako au kusemj ndege sio basi la msanga haya mi ndio nimeanzisha thread ifute sasa uanzishe yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.