Search results

  1. F

    Mdogo wangu wa kike ndiyo kamaliza Form 6, safari ya chuo imekaribia. Nawaza ataukwepa vipi "Ukware" wa vyuoni?

    Huwezi Jua mzee inawezekana akapata future husband huko huko, Mimi wife wangu nlimpata chuo tena tulikua tunasoma darasa Moja..
  2. F

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Me nmecash out mzee, nliweka buku 8 nkaona cash out imefika 131k nkapita nayo
  3. F

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Leo siku ya maokoto wakuu, GG zinamwagika
  4. F

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Timu hazitaki kushuka Daraja saizi, Huu mzunguko wa pili nadhani option bora Ni 1.5 na GG, KIla timu inataka kupata matokeo mazuri
  5. F

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Korea leo hana Ata shot on target
  6. F

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hivi wakuu hii free bet gift ya sportybet inatumika je, Maana kila nikijaribu naambiwa "Min. Stake required not met. "
  7. F

    Viongozi wa CCM wanafubaza ufahamu wa umma wa Tanzania ili wasiifikie keki ya taifa

    Elimu inayotolewa nchi hii haiendani kabisa na rasilimali zilizopo katika nchi, elimu yetu inatufubaza akili kwa makusudi na manufaa ya watu wachache, Ni elimu ya kulipwa laki 3 vibaruani, Tunatengeneza jam kubwa ya wasomi wasioweza kung'amua matatizo kwa sababu ya elimu yetu Ni kama Mental...
  8. F

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kazi kweli kweli Mkuu😂😂😂
  9. F

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Siwachukulii poa lkn bologna amekua na form nzuri lately, amekua akipata matokeo MAZURI kwa timu kubwa so leo hata draw alikua ana uwezo wa kutoa Sema ndo mpira tena
  10. F

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nlimpa a draw, Leo inaonesha kuwa Ni soko la Gg
  11. F

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kweli Italy wanabeti leo bologna kapigwa 3?
  12. F

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu, Kula mkeka Ni portion ndogo kati ya Ile mingi inayoliwa, we mwenyewe kwenye mikeka yako Kuna lost Ngapi? Je lost zoote tukizileta humu si tutaonekana Mawakala? Afu odds zenyewe nlizokula Ni 6 tu lkn nlizoliwa Ni nyngi..
  13. F

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu, Kula mkeka Ni portion ndogo kati ya Ile mingi inayoliwa, we mwenyewe kwenye mikeka yako Kuna lost Ngapi? Je lost zoote tukizileta humu si tutaonekana Mawakala? Afu odds zenyewe nlizokula Ni 6 tu lkn nlizoliwa Ni nyngi..
  14. F

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hivi mechi zikiwa postponed c zinatakiwa kutolewa kwenye mkeka na ulipwe odds zilizo baki? Mbona Hawa betway wamejikausha toka jana...
  15. F

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Huyo bwege pamoja na kumfunga mwenzie 7 yeye ndo katoka
Back
Top Bottom