Tactic ile ile ya man city msimu jana ndo ile ile aliyokuja nayo jana. Hadi sub alivyokuwa anafanya pep ni kama zile zile za mwaka jana ukiacha ya DOKU.
Ni kwamba maswali aliyoyatoa kwenye mtihan wa mwaka jana pep kwa ancelot ndo yale yale ameyarudisha tena. Yalitushinda mwaka jana ila mwaka huu...
1 day before don CALRO alisema anakwenda kumaliza game kwa technique aliyoitumia mwaka 2014 kama alivyomtumia SAMI KEDHIRA.
Hopefully VALVERDE ambaye jana kapewa man of the match na BELLIGHAM walibeba hilo jukumu.
Mmtake radhi bellingham wazee ile game jama cityzens walikuwa OFFENSIVE sisi...
Mashabiki mandazi ndo hawa sasa. Tangu lini kiungo anacheza defensive umuone ana gaa gaa na mupira. Hivi huyu ni madrid mwenzetu au n wazee wa livescore.
Grow and learn football tactics au tukupeleke uzi wa akina arsenal dogo.
Jana kroos kacheza defensive sana na akina camavinga sijui kama...
Ukiwa shabiki wa barca ukose tuu furaha nikushangae.
Being barca fan wewe ni shabiki wa
1. Barca
2. Man city
3. Atletico madrid
4. Buyern munchen
5. Chelsea
6. Ajax
7. Liverpool
8. Any anti madrid club ni yenu......
Aseee mkose tuu furaha for no reason
Paka mafuta mgando mengi ya kutosha sehemu za mapajani kwenye kona kona humo na usivae nguo za ndani nyingi. Vaa chache ikiwezekana vaa ambazo ni loose na sio tight
Ubora wa barabara huko MPANDA sasa ivi mpunga na mchele ni bei sana tofauti na zamani kipindi cha barabara mbovu.
Nenda sengerema kijiji cha BUKOKWA utanikumbuka gunia la mpunga hadi elfu 30 .
As longer as IRAN ni taifa lenye wayahudi wengi basi mission na operation za chini chini zitapigwa kwa kutumia raia wa IRAN wenye asili ya kiyahudi. Tahadhari kwenye masoko na mikusanyiko popote pale TEHRAN.
Nakumbuka kule BEIRUT bandarini kulikuwa na meli imejaza mapipa ya AMMONIUM NITRATE...
FC Barcelona 6–1 Paris Saint-Germain F.C. was the result of the second leg of a UEFA Champions League tie which occurred on 8 March 2017 at the Camp Nou in Barcelona. FC Barcelona overcame a four-goal deficit in the second leg of their 2016–17 UEFA Champions League round of 16 tie against Paris...
FC Barcelona 6–1 Paris Saint-Germain F.C. was the result of the second leg of a UEFA Champions League tie which occurred on 8 March 2017 at the Camp Nou in Barcelona. FC Barcelona overcame a four-goal deficit in the second leg of their 2016–17 UEFA Champions League round of 16 tie against Paris...
Nakumbuka barca vs psg refa alikuwa man of the match wakasherekea msimu fulani wa UCL. Leo refa kawa man of the match tena wanalia. Kisasi ni hapa hapa duniani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.