Dawa ya huyu jamaa ipo jikoni,2015 ccm hawata mpandisha jukwaani,cdm wakae kimya wasijali wapotezee,najua akili yake ahifikirii ataendelea ila kuna siku itafika,za mwizi ni 40.
Napata wasiwasi anaendesha vipi familia yake kama anaweza kukaa jukwaani nakutukana hivi,hiii ilikuwa pia mbinu ya...
Wabunge wa CCM wengi wababaishaji Hata Hoja Muhimu kama Hii hawaungi mkono,Ila na wasiwasi wengi wao hawajui kilicho wapeleka Mjengoni zaidi ya Maslai yao Binafsi,Pongezi kwa jembe Mnyika.....piga kazi huko mbele tutakupatia Nchi hii uiongoze.
Lisemwalo lipo,kama halipo laja,Naunga Mkono Hoja Hii inawezekana inaukweli Percent flani,Ila kama itakuwa Hivi bora tufanye mapinduzi Kama wenzetu Mali!Umefika Wakati sasa tuamke Watranzania!!Hawajamaa wanalindana na ukweli ndo huo!!Leo JK akikubali amwachie mtu mwingine Kiti itakuwa balaaaaa...
Taarifa nilizonazo hivi sasa source startv,watarusha matangazo ya moja kwa moja ijumaa kutoka arumeru,hii ni fundrising kwaajili ya kamanda wetu nasari,mungu ibariki tanzani mungu ibariki cdm.........!!
Mkapa Kalikologa Mwenyewe,Maneno yake hayana Nyuma wa mbele,Kiboko Baba wa Vicent ni ndugu damu damu na Nyerere,hata leo hii ukienda Butiama Uliza mtu yoyote anamjua Kiboko,Ujinga wa CCM waliumia sana Kuona Vicent Nyerere Kwenda Upinzani CDM....Tena CCm wakae Makini ndani ya CCM kuna makamanda...
Acha atukane hana lolote,siku tukichukuia Nchi hii Hutu Lusinde atakuwa wa Kwanza kuchapwa viboko,Hana lolote Mavi ya Kuku tuuuu!!tutashinda tuuu Makamanda
Tido Muhando alianzisha Shirika Hili kwa Moyo wake wote,na Mwelekeo Ulikuwa unaoneka,alifanya Kionekane Chombo cha Walipa Kodi,lakini hivi sasa amewekwa **** mmoja pale kwakutetea maslai ya serikali tuuuu!!Ila Ukombozi waja Tumeichoka TBC kwangu ni Marufuku kuangalia Station Hii!!
Taarifa...
Hapa Serikalii Kupitia Kwa Rais ndo wanaleta Siasa Kwenye swala la Msingi!kaongea na madaktari alafu anawageuka Kwa Wananchi kwa Kudanganya,Mimi naamini serikali hii tiatia maji sana!!Tunaongozwa na watu Bogazzzz sijapata Kuona!!!Kwa ili simuungi Mkono hata Kidogo JK washauri wake wanafiki...
Wana JF CDM walichokifanya Leo ni hususani hili lakuchangia Kampeni ni Kitu cha kutia faraja,sasa Ukombozi utakuja,Kuna watu tena wana CCM wanapesa zao nyingi sana ila wanaogopa kuchangia Chadema Kuogopa kuambiwa watakuwa wanasaliti chama chao,sasa kwa njia Hii tunawaomba wafanye kuichangia...
Hello ndugu wana jf,
hii ni mara yangu ya kwanza kuchangi kwenye mtandao wetu huu,kwanza nawapongeza wana jf kwa ushirikiano mzuri na members wenu, yote hii ni harakati za kulijenga taifa letu,bila kuwasahau wahusika wakuu wa jf nawapeni hongera sana,mungu awajalie muwe na afya njema muendelee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.