Mkuu scholarship za kusoma china zipo nyingi sana na bado hujachelewa......nakushauri achana na hicho chuo omba vyuo vingine kupitia csc.
Kama unaweza nitafute nitakusaidia.
Wengi hawajamuelewa lipumba- kuna umuhimu wa mjadala wa kitaifa.
Kamwe dharau,kejeli na matusi yanayoendelea kutolewa kuhusu kauli za Lipumba hazitosaidia lolote zaidi ya kuzidisha ufa katika taifa lililogawika siku nyingi ingawa hali hiyo imefichwa sasa mambo hadharani tunajifanya hatujuwi...
Wengi hawajamuelewa lipumba- kuna umuhimu wa mjadala wa kitaifa.
Kamwe dharau,kejeli na matusi yanayoendelea kutolewa kuhusu kauli za Lipumba hazitosaidia lolote zaidi ya kuzidisha ufa katika taifa lililogawika siku nyingi ingawa hali hiyo imefichwa sasa mambo hadharani tunajifanya hatujuwi...
haya ubaya upo wapi hapo???? Kwahiyo, huu ni wakati wa kuwa macho kwamba tupo njiapanda. Hii neema, utajiri unaogunduliwa ikiwa hatutajipanga vizuri, neema hii itabadilika kuwa balaa, neema hii badala ya kumsaidia kila Mtanzania aweze kuneemeka na neema hii, itageuka kuwa balaa dhidi yetu,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.