Search results

  1. S

    Msaada: Nawezaje kutumia WhatsApp account 2 kwenye simu moja?

    Mkuu nitumie na mm Link Email seniorrashid@gmail.com
  2. S

    Msaada: Nawezaje kutumia WhatsApp account 2 kwenye simu moja?

    Mkuu na mm nitumie pls Email seniorrashid@gmail.com
  3. S

    China MBBS Scholarship 2016

    Mkuu scholarship za kusoma china zipo nyingi sana na bado hujachelewa......nakushauri achana na hicho chuo omba vyuo vingine kupitia csc. Kama unaweza nitafute nitakusaidia.
  4. S

    Tanganyika(TANU) imetoka mbali waasisi wake wengi wao wametangulia mbele ya haki

    shehe,,,huyu Bi Bahia ndio mwenye ile madrasa mtaa wa k.koo???
  5. S

    Lipumba atunukiwa Nishani ya kuhamasisha Amani

    Wengi hawajamuelewa lipumba- kuna umuhimu wa mjadala wa kitaifa. Kamwe dharau,kejeli na matusi yanayoendelea kutolewa kuhusu kauli za Lipumba hazitosaidia lolote zaidi ya kuzidisha ufa katika taifa lililogawika siku nyingi ingawa hali hiyo imefichwa sasa mambo hadharani tunajifanya hatujuwi...
  6. S

    Lipumba atunukiwa Nishani ya kuhamasisha Amani

    Wengi hawajamuelewa lipumba- kuna umuhimu wa mjadala wa kitaifa. Kamwe dharau,kejeli na matusi yanayoendelea kutolewa kuhusu kauli za Lipumba hazitosaidia lolote zaidi ya kuzidisha ufa katika taifa lililogawika siku nyingi ingawa hali hiyo imefichwa sasa mambo hadharani tunajifanya hatujuwi...
  7. S

    Lipumba atunukiwa Nishani ya kuhamasisha Amani

    alitaka apewe slaa
  8. S

    Picha: Rais Kikwete akutana na Ibrahim Lipumba IKULU - Dar-es Salaam

    ooooh!!! kumbe una CHUKI NA WAISLAMU,,,,,,,,,,Ahsante Mkuu!!!
  9. S

    Picha: Rais Kikwete akutana na Ibrahim Lipumba IKULU - Dar-es Salaam

    kwani kuwaambia watu WAJIPANGE NI UDINI????
  10. S

    Lipumba atunukiwa Nishani ya kuhamasisha Amani

    ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
  11. S

    Lipumba atunukiwa Nishani ya kuhamasisha Amani

    kaka hawa tutakwenda nao hivi hivi wanavyotaka wao.............lipumba angekuwa john maneno haya wanayoyasema hapa wasingeyasema.
  12. S

    Lipumba atunukiwa Nishani ya kuhamasisha Amani

    walichelewa sana kumpa hii tuzo prof lipumba,,,,,,,nadhani mshauri padri slaaaaaaaaaa amrudie mungu naye atapewa.
  13. S

    Lipumba atunukiwa Nishani ya kuhamasisha Amani

    BASI usilie sana.....siku nyingine tutampa yule aliyeMuasi Mungu
  14. S

    Lipumba atunukiwa Nishani ya kuhamasisha Amani

    basi tusichukie Lipumba kupewa tuzo ya amani! Slaa nae apewe ya vurugu sio mbaya.
  15. S

    Lipumba achochea tena udini: Waumini walishwa kiapo!

    haya ubaya upo wapi hapo???? “Kwahiyo, huu ni wakati wa kuwa macho kwamba tupo njiapanda. Hii neema, utajiri unaogunduliwa ikiwa hatutajipanga vizuri, neema hii itabadilika kuwa balaa, neema hii badala ya kumsaidia kila Mtanzania aweze kuneemeka na neema hii, itageuka kuwa balaa dhidi yetu,”
  16. S

    Lipumba achochea tena udini: Waumini walishwa kiapo!

    kwa maana hiyo lipumba sio muislamu?? au lipumba ni muislamu wa juzi?/
  17. S

    Lipumba achochea tena udini: Waumini walishwa kiapo!

    Kibaya ni kipi alichosema hapo?? Je kama muislamu hana haki ya kuwapa nasaha waislamu wenzake???
  18. S

    CUF: Serikali ilichukulie hatua gazeti la Tanzania Daima kwa uchochezi wa kidini!

    UDINI UPI ALIOUCHOCHEA LIPUMBA?????? ktk yote yaliyomo ktk hilo tamko umeliona hilo la warakata tu???
Back
Top Bottom