Sahihi,ila usahihi wake hakumfanyi kuwa miongoni mwao.kuna sehemu anapuyanga pia.hivyo anaweza kuwa mdadidisi tu kama wadadisi wengine,but Kwa kiasi kikubwa ana knowledge kuhusiana nao.
Usiseme hivyo mzee,wanaume wanapitia changamoto nyingi sana,inahitaji uvumilivu wa Hali ya juu aisee,mwanamke anaweza kukufanya mateka ndani ya nyumba yako,ukiona mtu anampiga mtu kufikia Hali kama hiyo ujue yamemfika.binafsi navyoandika hapa napitia changamoto kubwa sana,kubwa sana,najaribu...
Hakuna aliewahi kufaulu mtihani wa ndoa au mahusiano,it's just inatokea upande Mmoja unakubali unaumia sana na mwingine una survive,hivyo usiweke reference yako kama mtaalamu,we both know that these issues remains purely subjective.
Ukiona wawili wamedumu basi uelewe Kuna mmoj amekubaki kuwa...
Ulichoandika ni rubbish.la kujifunza hapo ni kuwahi dawa hizo endapo mtu amejiingiza katika Hali kama hiyo,kupitia Hilo unaweza okoa watu wengi,hukuwa na haja ya kuelezea ujinga woote uliofaya.simple!
Kun kitu inaitwa big fish,big fish wakizinguana dagaa unatakiwa kukaa pembeni,ukiona wenye ukwasi wanakwaruana ujue Kuna michongo wameshazulimiana.Ndio mana wengi wanaishia kukimbilia kwenye siasa.masuala ya madai ya Kodi hasa za kufikishana mahakamani Kwa kesi za uhujumu yako deeply rooted.Sio...
Ukibambikiwa Kodi nenda kashtaki,ukikubali kubambikiwa basi ni unyonge.kuna watu wanashindwa kufanya biashara Kwa sababu ya makadirio ya Kodi.Tatizo jingine watanzania hatupendi uwazi,unapewa grace period ,halafu ikifika muda wa kuonesha return ya biashara unambwela mbwela.Tatizo kubwa Lina...
Kataa hiyo mentality ndugu yangu,Kuna watu waadilifu sana,na Wana mfanikio makubwa tu.
Ukiwa nje ni rahisi kuona hivyo,ukiwa ndani ni rahisi kuusoma mchezo.
Ntakupa mfano.Kwenye mabank Kuna mishahara midogo sana,lakini je mbona vijana wanapiga hatua?je wanaiba?na wanaibaje?
Uzi mrefu sana,punguza pia uwongo.Na kingine ni kwamba what you did sio ujanja,mwanamke angeweza kukuingiza kwenye shida sana ambayo ingekupotezea kila kitu.Be humble.
Too much f**k with people,kuwa TRA hapa ndio tatizo na wengi wakimwona mtu Yuko TRA na anafanya maendeleo basi Hela kazitoa humo Tena kwa wizi,Kuna watu wamefanya kazi makampuni binafsi huko anagali mayanki kabisa wakajipanga wakawekeza haafu sasa mwishowe wakaamua kutafuta heshima ya kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.