Leo nam niwape kisa changu cha kimasihara
Mwaka 2016 nilipata mtoto wa kiume na mrembo mmoja wa kisambaa nilikuwa sijafunga nae Ndoa ni ile sogea tuishi mtoto alipotimiza miez 2 nikaamua kuwaleta Dar kuja ku enjoy tulifikia hotel moja iko mtaa X ilioko Dar tulikaa wiki 3 kwenye hyo hotel
Sasa...
Naitwa M ni mwajiriwa wa kampuni X inayojihusisha na maswala ya kilimo niko hapa natafuta kaz mahali pengine
Mahal nilipo kwa sasa changamoto zmekuwa nying sana kwa uongoz wa kampuni nmejitahid ila ninaona napoteza muda wangu:
Baadhi ya changamoto:
1. Baadhi ya viongoz kuingilia kaz mfano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.