Ahsante!!
ila . molecular biology, petroleum chemistry, microbiology, food processing na chemicals engineering .. naona wanakubaliwa!! .. ipi n bora kati ya hizo
Naomba kujuzwa kuhusu hili!!
kwa wale wa diploma ya lab. science and technology.. kutokea DIT, ATC or MUST.. wanaweza ku apply degree ya Medical lab.. na kukubaliwa?
Majibu niliyo yapata tena ... yanazid kunichosha
"We are sorry that the Transaction ID you provided does not exist in our system. Kindly make a payment though M-PESA and try again"
Tangu jana nilipotaka kuanza kuji register online.. kweny ile link. inachukua mda mrefu. na mwishowe jibu linalokuja n hili
This webpage is not available
Opera-could not load the webpage because-olas.heslb.go.tz-took too long to respond. The website may be down, or you may be...
Naomba kujua.. kama mimi ndo nakosea au tatizo lipo wap?
kila nikijaribu ku click hiyo link ya ku apply.. inachukua mda kwel ku load na kukataa kabisa.
Kwa anayejua tatizo lipo wap naomba mnijulishe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.