Habari zenu, nahitaji viungo kama Parsely,Pilipili manga, Mdalasini,Hiliki, karafuu na garlic powder kutoka mashambani, msaada kwa yeyote anaefahamu wakulima ningependa kuchukua direct kutoka huko. Asanteni
Habari wadau,
1. Je wapi naweza pata machine ya kusagia viungo vya chakula? Specification zake na bei yake, nahitaji isiyozidi laki3.
2. Kiwanda chenye kutoa vifungashio vya viungo na pilipili, na pia kupata customized seal.
Kama ni Kenya naombeni contact zao.
Picha nime attach ni aina ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.