inasikitisha sana..lakini kama uongozi husika hauta chukua hatua kwa hao watoto itakua ndo mchezo wao maana wanajua hakuna wa kuwaadabisha. Necta wanajua hao watoto ni wa shule gani so wawatoe hadharani kwenye vyombo vya habari ama sivyo na hawa wa form six nao watakuja na verse zao..:hatari:
habari zenu wakuu,naomba mnipokee katika jukwaa ,nilikua msomaji mzuriii sana wa hili jukwaa sasa nimeingia kamili ili nifurahi zaidi ya nilivokua nafurahishwa na wana jf.nilikua najipanga si mnajua huku huingii kama huna hoja ...poa pamoja sana.:poa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.