Sasa moto unawaka na pa kujificha hakuna. Mkuu wa nchi yuko wapi? Kwanini yeye apone? Angekuwa mzalendo angesharudi immediately. Waungwana watasema ni mgonjwa good. Angeongea chochote basi
Mwaka huu ni mwaka wa shetani kwa serikali dhaifu. Walisema madaktari ni wabinafsi na wana tamaa, watasema nini kuhusu waalimu. Bado wasubiri mgomo wa wafanyakazi wote kupinga marekebisho ya sheria ya mafao ya uzeeni. Anayelishauri taifa ana homa ya uti wa mgongo,au ebola anakaribia kukata roho...
Sasa anakimbia nini. Agangamale. Unajua na yeye alitaka watoto wale vizuri,mke avae, watoto wasome shule bora kwa sabababu kazi yenyewe itakuwa ilipangiwa dau zito. Ila maskini,upeo,elimu,uoga na natural selection vika-mlet down. Next time auze walau nyanya.
He who praises the rain, has seen it. Do not under-estimate any accusation until there is a proof beyond reasonable doubt. Again yes there must be affiliation. You heard from the parliament recently " will the president choose an advisor who he is not affiliated with"???? What other evidence do...
Warudi tu kazini. Lakini wait! Si watanzania wataendelea kufa kwa kukosa huduma? What is the point ya mgomo. Wananchi kwaninni kwa pamoja tusimwambie mkuu kuwa hiyo approach ya vitisho ni mauaji kwa raia. Wanaharakati wamesma sana lakini ghafla wamwekuwa drifted awy na swala la kutekwa na...
Kuna tetesi kuwa unaweza ibuka mgomo mkubwa wa daladala na mabasi yatokayo na yaendayo mikoani. Mfano tumesikia mara kama 2 wks ago , moshi nako daladala za mjin ziligoma kwa siku moja wiki iliyopita na leo kulikuwa na fukuto la mgomo moto/baridi wa magari yatokayo na yaendayo mikoani. Wadau...
nadhani wewe ndiyo mpuuzi kuliko hawa madoctor,kwa sababu wito ni nini? Hata kama wangekuwepo na vitendea kazi hakuna watu wangekufa tu. Hivyo madaktari wote fungeni mikanda hii nchi inahitaji ukombozi wa kweli. Acha tuteseke leo kwa manufaa ya vizazi vijavyo
ni kweli mwalimu aliyakufundisha hesabu za kujumlisha alifanya kazi, na wewe unaufahamu uchumi wa nchi .sasa magari wanayotembelea wabunge na rais kwenye msafara yana gharama gani? Mshahara wa mbunge anyesinzia bungeni shillingi ngapi? Nadhani ungeanzia hapo halafu ufumbue macho uangalie...
It is a good move. Kama wanafahamu kwamba mwisho wa siku wataambiwa asantani kwa huduma nzuri ila serikali haina pesa. Kitakachofuata kama huna mtaji mkubwa unaweza kufunga hospitali
They need really to unite manake ni shida. Ila jamani hospitali zetu zinatia aibu. Sasa hivi 80% ya vipimo na dawa unaambiwa nenda hospitali binafsi. Wananchi wenzangu haya yanatugusa? Au ndo tunakuwa na ule upeo wa aah madaktari wanadai maslahi. Nenda hospitali sasa uandikiwe dawa uone. Ila kwa...
Ni kweli kabisa wadau. Si jambo la kufumbia macho. Leo tunalitazama kwa upeo wa mgomo wa madaktari kwa hasira na gadhabu kutokana na mateso wanayopata ndugu zetu manake kunaweza tokea bias katika thinking. Hebu fikiria labda wangevunja vibanda vyetu hapa mwenge na tukamteua kiongozi wetu...
Hii nchi inahitaji ukombozi wa elimu. Kama unajiita msomi halafu hujui hata scheme of service in hatari. Kabla ya kuropoka na kupost jichunguze because you are what you write! Kwa sababu ilivyo mshahara wa all health personnel unkuwa-callibrated kutoka mshahara wa dk sasa ubinafsi hapo uko wapi?
Bahati mbaya sana maka hilo ni wazo lako mwenyewe. Mgomo unakutisha, ila ufisadi unaukumbatia. Namnukuu mwalimu nyerere," kila kukicha wendawazimu wanazaliwa" wengine tutachanga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.