yah! we are but muda wenu utaisha wetu ukifika tutachukua hata mbao zitakazotumika kwenye majeneza yenu, ok faidini tu lakini lazima wajukuu zenu lazima tuwafirisi mali mnayowalimbikizia. A stupid man once in a while will be wise
hakuna cha kujivunia juu ya hili ona ambavyo wakuu wetu wa nchi wanavyoenda kustarehe huku wananchi wakila unga wa dona tena unaotokana na mahindi ya msaaada. Natamani hili ndo lingekuwa kaburi la Gaddafi mana hizo ndiyo juhudi zake za kuiunganisha africa. Inauma sana basi tu bora kura ugali na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.