Listening to the elders does'nt mean that they are perfect but we have to listen tothem simply because they have an experience for so many mistake what they did during their teenagers life.so anapaswa kuwa somo kwetu!
ni kwelli Mkuu lakini cjapata data kwamba anahitaji msaada?Je kwa kipindi chake chote alikuwa anahitaji gari?kwa sababu gari ni sawa na bakuli so inawezekana alikuwa haoni umuhimu wa kuwa nalo.Inahitaji BIG THINKING Kujipanua kimaisha na kimiradi:cheer2:
Haya mambo inatakiwa tuwe kitu kimoja kupinga na kulaani kiongozi wa imani au dini yeyte kupigwa nchi hii ina uhuru wa kuabudu so sidhani kama kuna atakae furahia akikuta Mwakasege kapigwa bomu au risasi kwa tukio hili inabidi tuungane na tulikemee kwa pamoja.
Salam wana jamvi!
Mimi na Mke wangu tunapedana sana lakini tatizo liko kwa Baba yangu mzazi ambaye ananipinga sana na hataki niishi na mke niliyempenda mwenyewe.
kwa upande wangu sioni tatizzo lolote kwa mke wangu na tunaelewana sana.Ninakuwa sina amani kwani sina uhuru hata wa kwenda nyumbani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.