Nilipo maliza kidato cha sita nilienda kuishi katika kijiji cha usangi,ambacho kipo wilayani mwanga mkoa wa kilimanjaro,nilikutan na mwanadada mmoja aliyeitwa neema.Ambaye nilifanikiwa kuanzisha nae uhusiano.kwa bahati mbay au nzuri hatukuweza kudumu kwa muda mrefu,sabbu aliondoka kwa ghafla...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.