Mitishamba hiyo ni geresha anataka uone kuwa hajapenda kuvaa hivyo (Kitop na Kimin). Sasa mwambie ainame kuchukua simu iliyodondoka chini utaona anavyohangaika.Biashara zingine hujiuza zenyewe ila zingine sharti uzitembeze.
Wana JF hivi kuna anayefahamu hiyo kamati ni ya wabunge wangapi? Inakutana na nani? Kuna haja kubwa ya Bunge kulifuatilia kwa karibu suala hili la Roho za watanzania zinazoteketea kila kukicha.Hivi Wabunge wakienda kule Muhimbili hawatalipwa POSHO? Spika kama alighafilika aombe radhi watanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.