Ukweli ni kwamba Mh. Rais hakubaliki kabisa na wananchi. Huku vijijini mpaka akina mama wenzake tu hawamkubali. Inaonekana hata yeye analijua Hilo ndio maana anaandaa mazingira hayo. Na huenda si nia yake kupita hiyo njia. Amelazimika tu maskini. Sometimes naye ni wa kuhurumiwa tu jamani, huku...
Nusu fainali ya kwanza...
Mabingwa watetezi Mlandege FC wametinga fainali ya Mapinduzi Cup baada ya kuitoa APR kwa mikwaju ya penati.
FT: Mlandege FC 0-0 APR FC (Pen: 4-2)
Mengi yatasemwa lakini heshima ya mwalimu itabaki pale pale. Mtumishi mwenye hadhi sawa na wengine na pengine kuzidi baadhi. Sifa ya uzalendo, upendo na unyenyekevu... Wote tumepitia mikononi kwa walimu. Japo Kuna baadhi ya walimu kweli wanaitia doa Kada hiyo, lakini kwa ujumla mwalimu atabaki...
Kuhusu kuchangia shughuli kama hizo za mwenge nk inawezekana ni mkakati wa wilaya husika kulingana na muktadha wa eneo lao na pia nature ya viongozi wa hapo. Sio kote iko hvyo... ndio maana ni vema kutumia neno “baadhi”. Hata hivyo mapungufu ya cwt yapo na yanahitaji kurekebishwa haraka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.