nashukuru kwa ushaur jaman nimeenda hospital nimeambiwa cio tatizo sna ila nina takiwa nipate muda mwingi wa kupumzika na kuepuka kazi ngumu ili mimba icitoke
Habar zenu wana jamvi natumain ushaur wenu utanisaidia,nina mimba ya wiki nane cha ajabu gafla nimeanza kuona chembe chembe za damu zkinitoka je iyo hali ni ya kawaida au ndio mimba inatoka csikii maumivu ya tumbo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.