wooooooooooooooo ma ndede,kwahiyo sitapata mume ndao kwasababu ni mchagga? poor me,yeuwiiiiiiiiiiii watu mna fikra hasi kuhusu kabila letu duh! kwastali hii tuatawowana wenyewekwa enye kwaababu tunajua.
Ndugu believe me or not kwa kuanzia hakuna kitu kama hicho,labda kwa aliye kazini akajiendeleza. TGTS E1 ni 618,000 ukishakatwa unakula 490,000.Karibu sana kwenye fani.
serikali haina mshahara wa masters wala phd kwa kuanzia kwenye sekta ya elimu ila utapewa kipaumbele kwenye nafasi za kuteuliwa kama mkuu wa chuo,afisa elimu,afisa taaluma n.k ambapo mshahara wako utakuwa tofauti na maafisa elimu wafundishaji tena ni baada ya kupata uzoefu wa kutosha kazini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.