Leo ile kiu yetu ya kuona KDB na Foden wanaanza pamoja kwenye midfield inaweza kukatwa.
Unless Pep aamue kumchezesha winga foden, basi leo tutamuona aki pair na KDB Kwenye 2-2 structure pale kati.
KDB..............Foden
Rodri..........Stones
Domination hiyo ni uhakika lazima watuachie mpira then wao wacheze mipira mirefu na counter.
Cha muhimu ni kuwa clinical tunapopata nafasi tunawamaliza hapohapo.
Wakati tunaendelea kungoja kabumbu safi hebu tujikumbushe safari yetu ya ubingwa wa ulaya msimu wa 2022/23.
Group stage
Sevilla 0-4 Manchester City
Manchester City 2-1 Borrusia Dortmund
Manchester City 5-0 Copenhagen
Copenhagen 0-0 Manchester city
Manchester City 3-1 Sevilla
Borussia Dortmund...
Shida ni kwamba tumeshaset the bar too high...imagine liverpool anamaliza na point 97 still hachukui kombe 😂😂
Hili la mwaka huu tukibeba ni kwasababu ya uzembe wa liverpool & Arsenal, kama wangeshinda game zao zote zilizobaki sie tungekua zetu tumetulia nafasi ya tatu hatuna noma na mtu.
Sasa...
Hebu watuhukumu hizo charges zao 115 watutoe tu, ligi yao tunaiondolea ladha sasa make msimu unaanza wa motoo lakini mioyoni watu wanajua at the end of the road the english sky is always blue.
Dah UEFA ina utamu wake plus tunakua the first english club kufanya hivyo.
By the way, gods don't choose, we take.
It's 4th epl title in a row.
A 2nd CL in a row
A 2nd FA in a row
A 2nd treble in a row
Goddamn it.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.