Mambo ya ajabu hayo, kwani huyu Mshamu ndo atawalimia mashamba yao? kama kuna njaa kwa uvivu wa watu kulima hata aje huyo Mshamu ni kazi bure... labda kama ndo kudanganyana atawalimia.....na kama yeye ni kiongozi mzuri basi hata akiwa hapo cuf mchagueni usilete kampeni za uongo ujanja
Basi huyo Mgana alizaliwa majuzi angekuwa mkongwe angejua Asante kotoko ilikumbana na kisiki kipi mpaka leo kimeacha historia..kwa ufupi yanga ndiyo yenye mashabiki wengi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.