Tunataka kufanana Mimi nilikua kiongozi wa maombi, shulen walikua wananiita mama mchungaji.Nilipowajua wanaume tu uhusiano wangu nakanisa ukapungua kabsa.
Ila saiv naona naanza kurudisha uhusiano wangu na Mungu na aliyesababisha urudi ni mwanaume pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.