maisha ni wewe.ukifanikiwa kuishi kama jamii inavyotaka huko ndiko kufanikiwa kwako katika ulimwengu wa mwili,yaani uwe na shule,kazi,mke au mume,watoto,nyumba,gari huko ndiko kufanikiwa,,,.matarajio ya haya ni kuupa mwili uwezo wa kumtafuta MUNGU KWA BIDII.Ili ufanikiwe kiroho na uje kuwa...
hapana kuna wakati tuwe tunakubali.mama yuko vizuri mbona mlikuwa mnalia kuwa democrasia wanaiua.mama karudi na anaweka mambo sawa bado mnaloloma,na hii inatuonesha kuwa mwafrika hatupendi democrasia
Mmmm hapana utafiti wako ni feki.kwa upande wangu naiona CCM iko vizuri kuliko nyakati zote.sababu ni nyingi sana.moja wafanya biashara wako vizuri,wafanyakazi wako vizuri,sera za nje ya nchi imekaa vizuri,mabenki kupunguza liba ya ukopaji hili mama limemwongezea kuaminika sana,mzunguko wa pesa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.