Kipo kipindi chaja, mishahara itakuwa kizungumkuti!
Lakini pia, sio ajabu tukisikia bandari mojawapo imechukuliwa na wakopeshaji wetu, tusije laumu kuwa hatukuambiwa!
Ipo pia siku tukaambiwa, wakati umefika Kwa kila mtanzania kufunga mkanda Kwa kujibana zaidi na kufanya Kazi Kwa kujitolea bila...
Tujivunie nini nyinyi watu wa Kwa mtogole.?
Ulaji wa chips na kukata mauno kama midemu miuza Naniliu?
Wanaume wa dar mnamatatizo na msijue nini chanzo, wavaa bukta na vipenzi pumbavu zenu
Wewe ni mjinga digidigi Mkubwa, watu wanaandika hoja we unaleta habari za shamba na mjinin!
Umjini wake unatusaidia nini sisi..?
Pimbi kabisa wewe, ni bora hata huyo wa kijijini na mshamba mchato, huyo wa mjini anaongelea kitu ya mtu wa shamba SGR, je kipi cha mtu wa mjini tujivunie...
Kwa sasa nitaanza kukuheshimu mkuu, umebadirika ghafula, hutoi matusi tena! Sawa ni hoja Kwa hoja! Mungu akuvushe ili uingie 2023, ombea saña nchi yako mkuu, ubabaishaji ni mwingi 5℅tu ya uhalisia wa kila kinachokuwa kinasemwa na wanasiasa
95℅ni uwongo mtupu! Ukweli ni kwamba, hatupo hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.