Lima kahawa Mbeya au Mbinga Songea. Kahawa ya kisasa miaka mitatu unaanza kuvuna.
Pia korosho ya mda mfupi nadhani miaka miwili au mitatu unaanza kuvuna.
Kahawa nifuate nikupe update zake me nimelima naanza kuvuna mwaka huu.
Kila mtoto ana riziki yake. Pia Africa life expectancy ni ndogo sana. Miumdo mbinu mingi imekaa vibaya kupoteza mtoto na kifo ni rahisi sana.
Kama huamini panda majinjah ya dar, mbeya utaelewa nini maana kifo.
Nao ni ushauri ila naishi nitakavyo. Na roho mbaya yangu ila sijawahi kumgongea kwake. Wewe nawe unaonekana kutwa kwenye nyumba za majirani tuliza miguu ishi kwako.
Mkuu ilikuwa zamani. Sasa hivi jirani yako ndo adui yako ingawa sio wote. Mtakuwa majirani wazuri kama life status mnafanana ila mkipishana jamaa hata nikinywa maji ya dukani anaumia jiran gan huyo?
Mkuu umeongea vema sana. Huku kuna vishorobo vinajidai vina busara sana kumbe ni wabaya sana. Huyu mshikaji kuna siku vijana walikuja kuniomba wafanyie scene ya movie yao kwangu. Wakaniomba nikawaambia waje tu atakuwepo wife me narudi jioni. Jamaa alivyowaona siku ya kwanza kesho wakaja tena...
Mkuu umeongea vema sana. Huku kuna vishorobo vinajidai vina busara sana kumbe ni wabaya sana. Huyu mshikaji kuna siku vijana walikuja kuniomba wafanyie scene ya movie yao kwangu. Wakaniomba nikawaambia waje tu atakuwepo wife me narudi jioni. Jamaa alivyowaona siku ya kwanza kesho wakaja tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.