Search results

  1. GentleGiant

    Anayefahamu kanisa zuri lenye sifa zifuatazo, anijulishe nijiunge tafadhali

    Nenda msikitini hakuna kanisa ambalo Yesu sio Mungu.
  2. GentleGiant

    Anayefahamu kanisa zuri lenye sifa zifuatazo, anijulishe nijiunge tafadhali

    So what if hivyo vyote vipo halafu kanisa hilo 1. Halimini katika utatu mtakatifu 2. Wanaamini kuwa matendo yetu ndo yatatuokoa na sio neema peke yake 3. Halimtambui Yesu kama Mungu 4. Linaamini sources nyingine ya authority tofauti na Biblia Ask yourself unataka Ufalme wa Mungu au...
  3. GentleGiant

    Kuhubiri dini kwenye mabasi na standi za umma nao ni uhuru wa kuabudu?

    Huna unchokijua,unachotafuta hapa ni ligi. I am not interested at the moment.
  4. GentleGiant

    MREJESHO: Niliomba ushauri juu ya sehemu sahihi ya kutoa fungu la kumi

    We toa popote unapotaka unachoambiwa hapa ni kuwa ili iitwe zaka ina mahali pake pa kutolewa. Ukiamua kutoa mchango wa harusi,sijui umesaidia yatima au msaada wowote ule wa kifedha we toa ila don't make a mistake of calling it ZAKA.
  5. GentleGiant

    MREJESHO: Niliomba ushauri juu ya sehemu sahihi ya kutoa fungu la kumi

    Ni jambo jema ulilofanya lakini hiyo sio zaka ni sadaka nyingine tu. Zaka inatolewa madhabahuni. Lengo la zaka ni kuendeleza huduma. Kwa mantiki hiyo utapata baraka za utoaji lakini hutapata baraka za zaka kama ambavyo ziliainishwa kwenye kitabu cha Malaki. Ukitaka baraka za kutoa zaka toa zaka...
  6. GentleGiant

    Kuhubiri dini kwenye mabasi na standi za umma nao ni uhuru wa kuabudu?

    The point ya kuhubiri injili sio watu wawe waaminifu bali waokolewe kutoka dhambini.
  7. GentleGiant

    Kuhubiri dini kwenye mabasi na standi za umma nao ni uhuru wa kuabudu?

    Mi nikipanda basi bila mahubiri sisikii raha.
  8. GentleGiant

    Kuhubiri dini kwenye mabasi na standi za umma nao ni uhuru wa kuabudu?

    Upuuzi..... Neno litahubiriwa popote,kuamini ni maamuzi yako. Katika kundi la watu 100 akiamkni hata mmoja tu ni ushindi mbinguni. Ukiona unakereka kusikia neno la Mungu basi ujue shetani kakukamata.
  9. GentleGiant

    Ukweli kuhusu Israel, Waarabu, na Ibrahim

    Mungu wa makundi haya mawili hafanani,hatuwezi ku-conclude kuwa tunaabudu Mungu mmoja.
  10. GentleGiant

    Ukweli kuhusu Israel, Waarabu, na Ibrahim

    Mada yake iko sahihi isipokuwa tu aliposema Ibrahim alikuwa Muisrael
  11. GentleGiant

    Ukweli kuhusu Israel, Waarabu, na Ibrahim

    Yakobo ndo aliitwa Israel
  12. GentleGiant

    Vikao vya kuzimu

    Sio kweli
Back
Top Bottom