Search results

  1. ItsMi

    Mshindi wa Shindano la Uandishi wa Mtandaoni wenye kuleta tija (JF Stories of Change) kujulikana Ijumaa tarehe 15 Oktoba, 2021

    Asante kwa baraka zako kiongozi Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  2. ItsMi

    Mshindi wa Shindano la Uandishi wa Mtandaoni wenye kuleta tija (JF Stories of Change) kujulikana Ijumaa tarehe 15 Oktoba, 2021

    Naamini ni ushindi pia [emoji2] angalau ntasema nilijitahidi, hata kupewa ubalozi si jambo dogo ujueee!!! Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  3. ItsMi

    Mshindi wa Shindano la Uandishi wa Mtandaoni wenye kuleta tija (JF Stories of Change) kujulikana Ijumaa tarehe 15 Oktoba, 2021

    Hapa daily najiuliza mshindi aliandika vitu gani??? Ambavyo maybe wengine hatukuviandika..... Ila tuwe na imani kwa kuwa mungu hakai mahali palipo na wasiwasi huu ni ushindi wetu sote. [emoji56][emoji56] Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  4. ItsMi

    Unapotaka ufanikiwe kwenye biashara inahitajika

    Dah pole sana mkuu, ila kama ulivyosema watu wengi wanafungua maduka na hatimaye baada ya muda huyafunga maduka hayo kutokana na sababu mbalimbali ikichangiwa na mambo ambayo ni pamoja na : 1.ongezeko la kodi /ushuru kwa bidhaa au huduma 2.kufirisika kwa mfanyabiashara hali inayoweza kutokana...
  5. ItsMi

    Unapotaka ufanikiwe kwenye biashara inahitajika

    Ufanye vifuatavyo ambavyo ni baadhi ya njia, au mbinu na vitu vya kuzingatia unapotaka ufanye biashara. 1. Kwanza unahitajika kufanya tafiti katika upande wa masoko kwa bidhaa yako husika. 2. Mtaji wa biashara unayoenda kuanzisha kwa sababu kama tunavyojua huwezi kufanya biashara...
  6. ItsMi

    Masalia mapya ya mijusi mikubwa yagundulika Lindi

    Dah hawa viumbe mifupa yao ni balaa[emoji849] Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  7. ItsMi

    SoC01 Uwekezaji kwa ajili ya Mtiririko wa Pesa (Cashflow investment)

    Dah umenifungua mkuu[emoji1666][emoji1666][emoji1666] Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  8. ItsMi

    Tuungane kupiga vita matumizi ya dawa za kulevya

    Kwanza niseme kutoka moyoni kwamba sisi vijana tumekuwa ni tegemezi kubwa sana kwa jamii lakini kwa bahati mbaya wengi wetu hatuthamini ukubwa huu tuliopewa na jamii zetu. Sasa lengo ni kwamba sisi tunatakiwa kuwa mstari wa mbele kulipinga hili na sio vinginevyo Tunapoona vijana wenzetu...
  9. ItsMi

    Tunaomba Sensa isaidie kutatua changamoto na kero za muda mrefu zilizopo katika maeneo yetu

    Dah hatareeeeee[emoji1] Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  10. ItsMi

    Hatimaye sasa sanaa ni ajira

    Hapana ponografia haiwezi kuwa sanaa kwa kuwa haihusishi usanifu wowote ila Unajua huwa tumetofautiana kuna watu wanamalezi mabaya wengine mazuri hivyo wapo wanopamba mambo machafu kwa kuwa walipata malezi mabaya na hata wale wanaokuwa wakilaani vitendo vibaya hawa nao wako upande mwingine wa...
  11. ItsMi

    SoC01 Mimba za utotoni ni "kaburi" la ustawi wa Watoto wa Kike nchini

    Malezi mabaya wanayopatiwa watoto ndio yanapelekea kutuletea shida kama hizi mtaani Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  12. ItsMi

    SoC01 Elimu ni Msingi kwa Mtoto

    Dah hivi wanatuchukuliaje hawa[emoji849] Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  13. ItsMi

    Tunaomba Sensa isaidie kutatua changamoto na kero za muda mrefu zilizopo katika maeneo yetu

    Dah acha nifurahi[emoji23][emoji23][emoji23] Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  14. ItsMi

    Tunaomba Sensa isaidie kutatua changamoto na kero za muda mrefu zilizopo katika maeneo yetu

    Baadae watakuja tena na zile net zao za matundu makubwa kutuzugia[emoji2960] Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  15. ItsMi

    Tunaomba Sensa isaidie kutatua changamoto na kero za muda mrefu zilizopo katika maeneo yetu

    Ngoja tusubiri tujionee watafanyaje[emoji849] Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  16. ItsMi

    Tunaomba Sensa isaidie kutatua changamoto na kero za muda mrefu zilizopo katika maeneo yetu

    Wanakwambia ni jukumu la wewe kuhesabiwa ili kwamba wakutambuee au hutaki zile net [emoji1787] Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  17. ItsMi

    Tunaomba Sensa isaidie kutatua changamoto na kero za muda mrefu zilizopo katika maeneo yetu

    Ahahahahaha [emoji23][emoji1787][emoji1787] Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  18. ItsMi

    Changamoto zinazoikumba sekta ya afya zitatuliwe mapema

    Dah inatokea mara nyingi sana hii. Yaani unakuta wanakupotezea muda mwingi halafu mwishowe dawa hupati wanakuandikia tu kwenye kikaratasi eti kwamba ukatafute kwenye maduka ya madawa. Yaani hapa ndipo ambapo hua najichokeaa. Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  19. ItsMi

    Vijana tuimarishe mitazamo chanya yenye kutukomboa kutoka kwenye umaskini

    Sisi ni vijana na bado tunasafari ndefu sana kuyafikia malengo hivyo tusiwe watu wakukata tamaa kwa kuwa fursa ni nyingi ikishindikana hapa unahamia pale mpaka pale mambo yako yote uliyoyatarajia yatapokuwa yamekaa sawa. Pia vijana sisi kama taifa la kesho tusiwe watu wa kuridhika mapema na...
  20. ItsMi

    Changamoto ya maji itatuliwe ili kuboresha shughuli za maendeleo kijamii.

    Tunajua kwamba maji ni uhai mia ni hitaji la muhimu kwa kila mmoja wetu, lakini kumekuwa na baadhi ya maeneo ambayo yanasumbuliwa na upungufu wa vyanzo vya maji ikiwemo visima mabwawa na hata mito hali inayosababishwa na asili ya eneo hilo la kijographia au hata mabadiliko ya tabia ya nchi...
Back
Top Bottom