Limbu alituambia katiba ya ACT - Tz hairuhusu mwwanachama mpya kugombea kabla ya kuwa chamani si chini ya miezi 6 ni kweli ? kama ni kweli ilikuwa sahihi kubadili katiba ili tu kuwezesha wasio kidhi vigezo wapewe uongozi ? demokrasia hii iliyotumika ina tofauti gani na ya Mh. Mbowe kuongezewa...
Nafikiri sio sawa kuiangalia Zenj kwa idadi ya watu;hata kama wangekuwa 200,000 tu lkn ukweli ni kwamba kwa hadhi ,Tanganyika na Zanzibar zote ni nchi na zinalingana.Nategemea Wazanzibar watapinga hata uwiano wa idadi ya wabunge ili wawe sawa na watachangia kwa usawa gharama za kuendesha...
Kaka,samahani kwa kausumbufu,nakuomba utafute sheria za tz kuna watu wanaitwa VISITING JUSTICE ambao kazi yao ni kutembelea magerezani kwa ajili ya ukaguzi ili kujua hali halisi ya magereza na wafungwa.WABUNGE ni mojawapo wa watu hao,.aidha kuna kamati za Bunge ambazo majukumu yake ni mtambuka...
nadhani unashauri siku ya sherehe ya cdm bendera zote za ccm zilizopo karibu na eneo la shughuli zishushwe kwa nguvu na wana cdm!nimeupenda ushauri wako.
nafikiri kuna point una i over look,ASKARI AKIWA KWENYE SARE, Hata kama alikuwa kwenye ibada,suala la salamu ya mwisho kwa marehemu linamtaka afanye hivyo otherwise asivae sare awe civilian.
Je hata angepewa hizo 10m zingetosha kufanya kampeni?mesage ilikuwa wazi,watumainie watu wako wanao kuamini uyashinda,Dogo alikwenda na umma ukampa imani iliyomfanya kuaminiwa na chama,leo kwa thumni zao huyooo Mjengoni.well done Lema,Dogo hata kura za maoni asingeshiriki kwa kufikiri bila fedha...
Nimeupenda muono wako!CDM hawabahatishi;deep inside u kwow the truth. ZK amepata ushirikiano na malezi ya chama kufika hapo.hiyo divide and rule yenu iache huko green.CDM WATAPANDA PAMOJA NA KUVUNA PAMOJA.
Nafikiri mnalo jukumu la kuweka wachacharikaji wengine pia ili kukipa chama uhai,chaguzi za serikali za mitaa hazipo mbali,mnahitajika kwa uhamasishaji na ushiriki wenu wa hali ya juu.Haitakuwa sawa 2je kuwasikia wakati wa kutafuta viti maalumu.Jengeni mtandao mpana wa kudumu.
Nakuunga mkono,ni wazi kuwa bila kuwashirikisha hawatajisikia kuwa sehemu ya mafanikio hayo,wala wivu hautawala kupigania mafanikio hayo kwao.M4C itafanikiwa sana ikielekezwa kwa vijana wote.
Naamini viongozi wa C.D.M wana sababu ya msingi kufanya hivyo.Wana Arumeru Mashariki walichanga sumni zao kumuwezesha kijana wao kupata ushindi;wanatamani kumuona aki apa kuwatumikia.Dom ni miongoni mw ngome kongwe za C.C.M,lugha waijuayo ni C.D.M ni chama kidogo cha msimu hivyo kishindo hicho...
Mimi huwa najiuliza mbona haend pale mlimani ili baada ya hotuba wamswalike maswali kadhaa!!Mkuu wa kaya anajua jinsi ya kujisafisha kwa kutumia media,pale sauti yake ilikuwa inasikika nchi nzima,ya wanaharakati ilishazimwa kwenye media kitambo.sasa upotoshaji utafanyika na ukweli...
Kwa kweli inahitaji msaada wa Mungu.Wangu nilikutana nae nikiwa na jeraha moyoni baada ya kuwa uchumba wangu wa awali umevunjika!She came just like a friend,hakuwa mpenzi lkn alikuwa na inner values ambazo sikuziona ktk friends wangu wa awali,.Alikuwa msikivu,mwerevu mwenye upendo wa dhati hata...
ni kweli aisee hata mimi nimebakiza mz 5 tu nimalize deni tena ghafla mwezi dec walibadili makato toka 5 hadi 15% ya mshahara lkn nipo kwenye orodha ya defaulters!
jamani punguzeni makali kidogo.hebu fuatilieni kiwanda cha jeshi Mzinga Morogoro wanafanya makubwa tu,kuna jamaa zetu wa Nyumbu Kibaha na magari yao,kuna kampuni nyingi za ujenzi wa barabara zina origination ya nje lakini sehemu kubwa ya wataakam wao ni Watz,kuna zana na software programs...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.