Sijawahi Kaka nasijasema soko la nje ni rahisi na mimi nipo nje naona watu wanavyopambana kuleta mazao huku na kupata faida kila kitu kinawezekana ni kupambana tuu usiwatishe watu ndugu
Kaka labda umesoma hukunielewa ujumbe wangu na pia kuuliza Soko si mbaya kwasababu kuna watu maybe washafanya na kuelewa hili zao vizuri ndio maana unatakiwa kufanya research kwa jambo lolote ambalo ujalianza kujua undani wake na sio kila kinacholiwa kinapendwa na wengi.
Nilikuwa na watch Youtube kuhusu mkulima wa Apple Nchini Kenya anaitwa Wambugu (Wambugu Apple) nimekuwa inspired aisee, ingia Youtube andika Lynn Ngugi Wambugu apple utaiona, na anatoa darasa free of charge, kuna mtu yoyote ni mkulima wa Apple atupe dondoo la soko hapa Tanzania?
PlayStation Slim ni ndogo na kuna Kubwa kazi ni ileile kama iPhone kuna iPhone na iPhone pro max..Ps2 ps3 matoleo ya zamani hayo chukar ps4 ukiitaji Niambie nakutumia kutoka Uingereza na Mzigo wa PS4 natuma next month inshallah
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.