Ha ha ha yaani naona kama story za uzushi unajua yule jokate nilikua namwonna ndo staa aliyetulia na kujieshimu daah kwl elimu yake haijamsaidia hata kama ndo mapenzi upofu jaman inamana hata kama hujui kusoma hata picha huoni?magonjwa yote haya jaman xxxxdaah!kajishusha sana yaani ile nafasi...
Namshauri aache kuchagua sana mybe ndo sababu umri umeenda atafute mmoja amby atakama atakuwa asilimia mia atleast hata nusu maisha cku izi hayatabiliki wengi wanaoana kwa kutamaniana believe me sometimes inasidia wakishaishi love inakuja bila kutarajia so asikate tamaa mungu atamsaidia amwombe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.