Nimekua nikipata maoni ya watu mbalimbali kua ukianza biashara iwe kubwa au ndogo bila kwenda kwa babu ukawekwe sawa basi utakua unasindikiza wenzio. Naombeni maoni yenu wana JF maana tupo na maswali mengi kichwani yasiyo na majibu.
Habari wana jamvi ? Naomba msaada kwa anae fahamu dawa nzuri ya kuongeza uzito kwa kuku wa nyama! Nina kuku zangu zina mwezi sasa ila hazina uzito kabisa. Nawasilisha kwenu wana jamvi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.