Search results

  1. Mfonii

    Hivi ni lazima utumie ushirikina kwenye biashara ndo utoboe?

    Nimekua nikipata maoni ya watu mbalimbali kua ukianza biashara iwe kubwa au ndogo bila kwenda kwa babu ukawekwe sawa basi utakua unasindikiza wenzio. Naombeni maoni yenu wana JF maana tupo na maswali mengi kichwani yasiyo na majibu.
  2. Mfonii

    Ipi dawa nzuri ya kuwaongeza uzito kuku wa nyama?

    Habari wana jamvi ? Naomba msaada kwa anae fahamu dawa nzuri ya kuongeza uzito kwa kuku wa nyama! Nina kuku zangu zina mwezi sasa ila hazina uzito kabisa. Nawasilisha kwenu wana jamvi.
  3. Mfonii

    Natafuta vifaranga vya broiler

    Habari wadau? Nashida na vifaranga vya broiler kwa yoyote anae fahamu wapi nitapata naomba mawasilianao.
Back
Top Bottom