15% imeanza kukatwa January ila inategemea na response ya taasisi unayofanyia kazi. Sababu ni kwamba mwajiri wako ni kama agent wa kukusanya makato hayo na kuyawasilisha HESLB, kwahiyo wepesi au uzito wake wa kutii agizo la kukata 15% ndio utasababisha uchelewe au uwahi kuanza kukatwa 15%...
Siku zote ukiona serikali inatoa huduma fulani bure kaa ukijua kuna mtu anaigharamia hiyo "bure" , na mtu huyo anajulikana kwa jina maarufu kama "mlipa kodi".
Na kadri serikali au mgombea anapokuahidi vitu vingi vya bure bure kutoka serikalini kaa ukitambua kuwa hiyo bure utailipia wewe mlipa...
Has nothing to do with kiswahili, it is logic....
1. It is not true
2. It can't be true
Kwa tafsiri yako jambo kama haliwezi kuwa kweli then si la kweli, unamaanisha hisia zako zikikutuma kuwa si kweli then hisia zako zinakuwa facts.....au sio???
Mkuu, heshima na salamu kwako!
Mkuu unajua tofauti ya sentensi hizi mbili hapa chini??
1. Si kweli
2. Haiwezi kuwa kweli
Sentensi mojawapo hapo juu huambatana na vielelezo vyenye ukweli halisi,
Na sentensi nyingine hapo juu huambatana na hisia binafsi.
Mkuu, kwa heshima na taadhima sana...
Either huna idea na unachokisema au kwa makusudi unanganya wadanganyika kwa kutambua udhaifu wao wa kutofahamu na kutojua kuutafuta ukweli.
Anyway...kila la kheri..!!
Two different people with two different personalities, why should they be the same???
The world would be the most boring place if we were to behave and act the same. We are united by our differences and it makes life interesting!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.