Search results

  1. J

    Ni Vema Kingai, Jumanne, Goodluck na Mahita Wangekamatwa

    Kwanini wote ni wsisilamu??
  2. J

    Waziri Simbachamwene ametudhalilisha Polisi

    Hapa Waziri amekosea. 1. Ina maana huko polisi hawapandishwi vyeo kuwa makududi. 2. Ina maana elimu sio msingi kwenye kazi za jeshi la polisi. 3. Jeshi la polisi litawezaje ku-operate ktk era ya technolojia kama waajiriwa ni failures. 4. Je si vema basi wachukue darasa la 7 kabisa ieleweke. 5...
  3. J

    Serikali inaendelea kufanya ubaguzi kwenye ajira. Kama una div 1&2 au bachelor degree jua upo kwenye risk ya kutoajiriwa

    Naelewa mashaka kwa wahitimu wapya kukosa kazi. Lakini kitu kimoja kinachowaponza vijana ni kutokuwa flexible ktk strategies zao. Hawasomi alama za nyakati. Unapoona kuwa muelekeo wa sera za serikali umeelemea upande fulani, basi elekeza nguvu zako huko. Kwa mtani ukiwa na div 2 au 1 ukachagua...
  4. J

    Sifikirii kama kuna ulazima wa kuendesha zoezi la sensa ya watu na makazi katika kipindi hiki cha mdororo wa uchumi

    Sensa (kujua idadi ya watu) ni muhimu kuwa nchi ktk kupanga mambo mengi kiuchumi na kijamii. Lakini ninatoa wazo. Tujenge mifumo ambayo itatupa idadi ya watu Bila kuwa na ulazima wa kuwahesabu watu. Mfano mifumo ya data za vizazi na vifo iboreshwe mpaka vijijini. Gharama ya sensa moja tuu...
  5. J

    Nampongeza Rais Samia kwa kukubali kuwa Mkuu wa Machifu Tanzania

    Kuna ukweli kuwa ingekuwa vema itangazwe kuwa ni chief wa eneo walilomsimika. Ingeleta heshima zaidi. Kusema ni wa nchi mzima, wamekosea, yeye ni Raisi wa nchi yote lakini uchief ni wa eneo eneo na kabisa fulani. Labda kama hao machief wa makabila yote walikaa na ku-deliberate hilo. Tuwe makini...
  6. J

    Suleiman Kova: Mtu anayekuwa katika msongo wa mawazo anaweza kufanya kama Askofu Gwajima, hajiamini na haamini wengine

    Askofu Gwajima amefanya kitu sahihi. Kupewa kiti kingine na kubadilishiwa mic (jambo ambalo hakuna aliyelitegemea) linampa confidence ya kutodhurika kama kuna aliyetaka kuvitumia vitu Hivyo kumdhuru. Mimi naona ni kitu kizuri ili kusijekuwa na na hisia za kudhuriwa. It's ok.
  7. J

    Kuna binti nilimuahidi nitamuoa mwaka huu ila bado mambo magumu, nifanyeje?

    Kuwa tu muwazi kwa mchumba wako. Mweleze tuu. Itakusaidia.
  8. J

    Wanasiasa wanaposhindana kuijua Biblia na Koran badala ya Katiba na Sera za Nchi

    Sioni tatizo. Vitabu vya dini vinatoa reference nzuri zinazojenga jamii.
  9. J

    Mwigulu: Mama Samia kajifunza kuendesha nchi kutoka kwa Kikwete

    Bado nina mambo mengi ya kujifunza.
Back
Top Bottom