Habari,
Kuna hili swali, la kama kuna uwezekano wa mtu kusikiliza simu zako, je, utajuaje kama zinasikilzwa au meseji zinasomwa...na ukijua unawezaje itoa?
Kwanza, issue nzima inaitwa, "Call Forwarding", na hii ni pale, aidha meseji au simu unazopokea, zikatumwa kwenye namba ya mtu mwingine...
Habari, kwa wale ambao wana interest na mambo ya udukuzi, hizi ni baadhi ya basics unazopaswa kufahamu;
[emoji626]Adware − Ni software iliyoundwa ili kulazimisha matangazo ya aina fulani kuonekana kwenye mtambo wako. (Aidha PC/Desktop/Simu)
[emoji626]Attack − Uvamizi. Ni kitendo kinachofanywa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.