kwa wale waliopeleka application zao NIC nasikia zilikua zinawekwa ktk dustbin,ivyo inakuaje mtu amesoma zaidi ya miaka kumi shule alafu chet chake anakitupa ktk dustbin kama akijui alaf anasema anaaply kazi?
naombeni mnishaur nimbadilishe,maana kama ni hivyo nitaachana na wengi.yani apa najuta kupenda,i wish kama angekua humu hazisome hizi msg zangu.Maana hata nikijalibu ku mface anakua mkali yani kama hajui tatizo linalonisibu
guys mi nina mpenzi ambaye tuliachana then tukaludiana,tena kwa kuwaacha wapenzi tuliokua nao.The problem ni kwamba nashangaa sasa ivi mwenzangu hanijali tena.nikimtumia msg ajibu,amekua mkali nikiongea nae na wala ajisikii kunipigia.yan naona kiufupi ajisikii kuhusu mimi,nampenda sana sijui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.