Search results

  1. A

    Kwanini Wanafunzi wa kuanzia mwaka 2000 hadi sasa hawawajui Walimu wao Wakuu na hata Walimu tu wa Kawaida?

    Waziri zamani alikuwa anakaa miaka hata 5 bila kubadilishwa sio sasa anaweza asifike miezi 6 akabadilishwa..........
  2. A

    Kampuni ya Mabasi Dar Express inakwama wapi?

    Hiyo basi Ulanga inapendwa kweli na wapogoro,wanasema ina siti 2...
  3. A

    Serikali na ukimya wa Ajali ya Ndege

    Shida tunaenda kwa matukio tunasahau mambo ya msingi
  4. A

    Inachukua muda gani kupata kadi mpya CRDB endapo kadi yako ya zamani imeisha muda wake?

    Subiri watakutumia SMS kuwa kadi yako ume expire....watakuwa wameshakutengenezea nyingine.....
  5. A

    Ugonjwa wa kifafa usikilizeni redioni. Simulizi yake ni ya kutishaa!

    Pole sana....kwa sasa kutokana na teknolojia Kuna madawa ambayo mgonjwa akifata masharti vizuri hausumbui sana kama miaka ya 80
  6. A

    Ukitaka kuoa nchini Papua Guinea masharti yake hayo hapo chini

    Na yule jamaa wa Eswatini anayeoa kila mwaka vigoli angekata hadi miguu kabisa......
  7. A

    Ni jambo moja tu linaloweza kumfanya mwanaume kamili akalia

    Hapo ni Mzazi na Mtoto...hiyo 2 never.....
  8. A

    Nawaza; Sijawahi kubahatika kusikia au kuona msiba wa Albino

    Wanakufa kama wengine wananavyokufa ...nimehudhuria msiba wa albino alikuwa mwalimu tukazika ....lakini kesho yake kaburi likafukuliwa watu wakaondoka na viungo vyake
  9. A

    Nimepigwa faini sh 50,000/- hapa barrier ya usagara kwa kukojoa hovyo. Hii ni sawa au sio sawa?

    Saa sita usiku walikuonaje kama unakojoa na wewe umeshindwa kuwakatalia........
  10. A

    Mimi sio njaa njaa kama wanavyodhani wao

    Daah huyo jamaa alitaka kukutumia Tsh 48,805 kutoka nje....pokea tu itapunguza ukali wa maisha...
  11. A

    Mgonjwa kulipia 'Kumuona Daktari' Hospitali si sahihi

    Inaitwa "consultation fees" na sio kumuona daktari.
  12. A

    Bima ya Afya Hospitalini ni kero

    Daktari hapangiwi...ungejua ugonjwa unaokusumbua ungeenda kununua dawa na sio hospitali...kuhusu usafi ulitaka kutibiwa eneo ambalo ni chafu si ndo ungesema zaidi,kila sehemu ina utaratibu wake ,kama unataka fast track tafuta hela.....
  13. A

    Umeme ni Tanzania nzima au Dodoma tu??!!

    Mahenge/Ulanga giza kama kawaida...
  14. A

    SOFTWARE Application ya Katuni kwa Watoto Kujifunzia

    Mtoto wangu ameanza kujua 1 hadi 100 akiwa na miaka 3 kupitia simu ....mtoto hawezi kuingia sehemu sio sahihi kama hujamwonyesha
  15. A

    Mbeya: Mwandishi wa Habari afariki baada ya kujifungua

    Hakuna dr anayependa kuua mzazi....hicho kifo atakitolea maelezo hadi vikao vya kitaifa
  16. A

    Wanachama wa TALGWU mwaka huu tunapigwa, no tisheti wala kofia

    Mzigo wa TUGHE ushatoka kitambo.....
  17. A

    Nidhamu ya mawasiliano

    Inakera sana hii....
  18. A

    Ushauri Barabara ya Morogoro - Kilosa Kuikwepa Mikumi National Park

    Daah kwa behewa sasa pametenganishwa na uhindini baada ya tuta la reli kupita ....
Back
Top Bottom