Wewe ndo unajenga nyufa na mtu asiyeelewa anaweza shawishika kirahisi kumbe uliweka maada hii ukijua Kuna kujenga na kuboa !!
Wewe unadhani umejenga au umebomoa watu wasio na uelewa?
Mtu aliyeiva kiimani na aliyepikwa katika kiimani hawezi bomolewa Kama ulijua unabomoa imani za watu pole...
Hoja hizo si za kumfanya mtu aokeke, Hata angekuwa Muislamu au asiyejua ukristo huwez kumwongoa Kama unavofikiri/ elewa wewe Kuna utaratibu maalumu. Sijatoa hoja kuhusu dini nimereason kuhusu ukweli uliopo katika Bible,
Unajua maana ya kufia dini wewe? Lahasha hujui.
Siyo kila anayehoji Bible lazma awe Muislamu lkn nimekupa Visa vilivypo kwny Bible na Quran Ni kitaka urejee visa unavosema vipo kwenye Bible na vitabu vyako unavovisema vya kipagani kumbe hukuelewa!!!
Una diploma ya Bibleknowledge??? Hata certificate tu huna huna, ulipata diploma ya Bible kwenye madrsa? Chet chako kinatia waswas na elimu yako inabid upokonywe, heri ungesema una Bachelor Degree in Divinity lkn hata mwenye elimu tu ya Bibleknowledge ambayo ndogo Sana hawez shindwa elewa km...
Maelezo yangu hata siyo mengi ukilinganisha na yako, kumbe wewe Google Ni source yako ya information pole, ushaonesha imani yaka afu unasema upo neutral, huwezi toa mang' aamuzi kwa kitu usichojua inabid ufundishwe uelewe usipoelewa up akuwa mtu asiyefundishika na kuelewa.
Nijib visa vya Bible...
Unaposema Biblia Ni copy na paste ya vitabu ya vipagani kwann usiseme.vitabu vya kipagani vimecopy na kupaste kutoka Bible? Kama matukio yake mengine yapo baada ya yale Bible?
Hata Quran na Bible Zina matukio yanayoshabiana mfn tukio linaloelezwa kutokea kwa Isaka katika Bible Quaran inasema...
Watu wengine huswali/ sali katika nyumba za Ibada Hari wamejifungasha silaha na mabomu wakitoka Hapo kuuwa, kuswali/.sali na kuuwa saa nyingn huwa haviendan au havizuii mipango ya mauaji
Nimepitia hoja zako lakin Bado hujatoa hoja zenye mashiko na kusem haingii akilini , hoja zako Bado Ni futile.
Na jib kwa maswali baadh ya hoja zako Kama ifuatavyo:-
1: Una uhakika mashambulizi yaliyofanywa na Islamist militants msumbiji yamehusisha silaha za jadi tu?
2: Siyo wapambanaji...
Israel ana nayulia ndiyo lakin utofaut wake na Iran yeye hasaidii magaidi wa aina yeyote ile kwa sira zake . Mfano Irani huwasaidia magaidi wanaotaka kuingamiza Israel na Ni mpango wake wa muda mrefu kuwafuta wa Israel katika ramani ya dunia kitu ambacho si cha kufumbia macho, Iran huwasaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.