Pale alipo tetea haki ya mtoto kulia aliniacha hoi
"Mtoto apigwapo haki yake ni kulia" inashangaza wapinzani wanapofungiwa mikutano na wapazapo sauti wanakamatwa na kufunguliwa makesi
Wameamua kuchonga mzinga ile asali kwenye kijiko imekuwa tamu
Zito hana cha kupoteza kwasasa hata udiwani hawezi pata hivyo kaamua ku Join the chain na Bi Mkubwa wake
Hapa ndipo yale maneno"ameonja asali kaamua kuchonga mzinga"
Mama katupiga na kitu kizito kichwani
Kajitengenezea tume kama ile ya Warioba kinamna fulani
Hivyo kawahakikishia kina Zito maVx na mafuta posho mpaka 2030
Mama muogope Muumba asikupige kipapai ukamalizia maisha kwa taabu na mateso...
Kuhusu maroli ya gsm hata wewe mkinga unaweza kuingiza 100 ni conection tu hatuziju wanatumia dhamana na kupewa mikopo kazi kwako kusimamia hayo maroli card zinabaki kwao mpaka utakapo maliza deni wajanja wa zamani waliifanya sana kutumia Karadha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.