Kipo Mbezi kwa Musuguri karibu na barabara kuu ya mikoani, kina hati. Bei inaanzia Tshs 45m, pungufu unaongea....Hiyo ni opportunity kubwa kama una hela na unafikiria kuwekeza.
Je una nyumba Dar ambayo ni fully furnished yenye at least two bedrooms na hutakuwa ukiitumia katika mwezi wa october? Isiwe mbali sana na town centre na iwe na car park. Inahitajika kwa ajili ya wageni watakaotoka Europe na kukaa hapo kwa at least mwezi mzima and possibly longer. Nitumie PM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.