Samahani mkuu, naomba uweke uzi kwa ajili ya PC Maintenance.
Then naomba msaada:
PC yangu nikiwasha inawaka vyema tu, lakini ajabu ni kwamba nikibonyeza button yoyote ile kwenye keyboard inajizima yenyewe.
Shida nini hapa?
Shida ni kwamba nyie ndio wenye kuung'ang'ania huo muungano, mpaka mwalimu nyerere kuamua kumuua mzee karume ili alinde maslahi yake anayoyapata kwenye muungano.
Hapa ni kusema kwamba, tanganyika wamenufaika zaidi na huo unaoitwa muungano, kwa sababu wazanzibari walitaka kujitoa zamani kwenye...
Naomba unielewe mkaka.
Sijasema Lisu kashinda, wala sijasema wananchi wamesema Lisu kashinda, lahasha.
Nilichojaribu kueleza ni vile chaguzi za huku kwetu zimetofautiana na huku nje, kuanzia mtazamo wa wananchi, tume ya uchaguzi, mahakama na vyombo vya ulinzi na usalama
Nadhani utanielewa vizuri
Kupinga Trump haijakuwa hoja ya msjngi.
Tuangalie wananchi wanasema vipi, mchakato wa uchaguzi umeenda vipi, dola ilifanya nn, tume ya uchaguzi wakishiriki vipi.
Ukiangalia yote haya utaona hakuna chombo kilichotumika kwa maslahi ya Biden, na wananchi wenyewe ndo wamemchagua.
Trump anapinga...
No, free and fair election huanza tangu wakati wa kampeni.
Hata uwe professional kiasi gn, huwez sema siasa za afrika ni sawa na mataifa kama marekani na ulaya.
Mataifa hayo yana mahakama huru, hupigwi mtu, polisi hawatumiki na vyama vya siasa na mengine mengi miongoni mwa hayo.
Haya, vuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.