Jamaa kakosea baada ya ku2ma sms kwa hawara akatuma kwa mama mkwe ilikuwa inasema:
MIMI NAKUPENDA NIMEVUMILIA NIMESHNDWA NIMEONA NIKWAMBIE YA MOYONI NAOMBA TUWE WAPENZ MKE WANGU HAWEZ KUJUA:
wakat anatafakar atafanyaje likaja jibu kutoka kwa mama mkwe:
NAMI NAKUPENDA UNGECHELEWA NINGE KWAMBIA...
Kwa kipaji changu cha kutabiri, nayaona yafuatayo kwako:
1.Umeshika simu yako ya mkononi.
2.Unasoma hii habari unatumia dole gumba.
3.Wewe ni binadamu hai kabisa.
4.Huna jeuri ya kusema neno PIPI bila kufungua mdomo.
5.Nakuona umejaribu kusema neno PIPI.
7.Unajicheka mwenyewe...
Wakati benki inavamiwa, nikapiga 112
nikajibiwa KARIBU JESHI LA POLISI
TANZANIA
KITENGO CHA DHARULA, for kiswahili
press 1 for
english press 2, nikabonyeza 1, sauti ikasema
kwa
ajali ya barabarani au moto bonyeza 1
kwa
ujambazi bonyeza 2, nikabonyeza 2,
sauti ikasema:
kama majambazi...
Nimeokoa maisha ya mtu leo huwezi amini........."Nimekutana na ombaomba nikamuuliza atajsikiaje nikimpa Sh. 30,000/- Akasema ATAKUFA kwa furaha......Nikaondoka bila kumpa ili ASIFE.."HUONI KAMA NIMEOKOA UHAI WAKE ?
JAMAA ALIKUWA ANAMCHUJNGULIA HAUSGAL WAKE KUPITIA 2NDU LA FUNGUO, AMEINAMA KWA KUSHIKA MAGOTI, MARA MKEWE AKAMWONA NA KWA UKALI AKAMUULIZA UNAFANZA NINI HAPO? BWANA AKAENDA JUU NA KUSEMA SAMIALLAHU LIMAN HAMIDA! MKE AKASEMA HA, KUMBE UNASWALI! JE HUYU JAMAA NAE ATAKUWA GREAT THINKER?:A S-coffee:
DIRECT TRANSLATION FROM SWAHILI
TO ENGLISH.
1.Wacha mchezo - Leave sports.
2.Mimi sio mtu hivi hivi - Am not a
person like this like this.
3.Sikumoja nitakutembelea - One day I will walk on you.
4.Yeye ni mtu maarufu - He is a smelly
person.
5.Nataka kukujulia hali - I want...
Kulikuwa na wakristo wawili walikuwa
wana njaa kweli siku 3 hawajala
wakaona msikiti moja akamwambia
mwenza pale msikiti hatuwez pata
chakula mpaka tuwe waislamu sasa
tubadilishe majina moja akasema me ntajita muhamad mwenzake aka kata
asema sibadili jina me naitwa josef hvyo
hvyo...
Mama Mjamzito anatarajia kujifungua
Mapacha watatu, mapacha
wanadiscuss 2mboni..
1: Mi ntakuwa Fundi umeme, kuna giza
sana huku
2: Mi ntakuwa Fundi bomba kuna unyevu sana huku
3: Mi ntakuwa Mwindaji, na yule nyoka
akija tena huku, ntamkata kichwa..!
Dingi yetu uliye majuu jina lako lipewe maflagi ya kufa mtu ufalme wako utuibukie kiaina unachotaka ​kifanyike duniani kama maskani kwako utulete leo mapiza mbaga na mazaga zaga tuchuku tukichemka kama tunavyo wachunia masela wa kitaa usitutie moton bali utuokoe kwa maji kwa sababu wewe ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.